Canada yahitaji zaidi watu (soma)

Unachoongea nikweli mm nimmoja wawatu nimeshajaribu iyo njia issue inakuja visa wanachelewa kutoa sanaa.kwasasa wana dili na ukrain waamiaji, student na watu wanoenda kutibiwa. Unafanya application ya visa inagonga 6mnth ircc.inaitaji moyo kwakweli
 
Sasa kila mtu akitumia akili ya we have one life ina maana Nyerere angeamua si angekula zake bata akawaachia mashimo tu.

Acheni ubinafsi jamaa, hichi kirusi kinakula taifa na kitatumaliza.
Kila sekta ina wateule mkuu hatuwez kufanana,hatuwez kuwa na mtazamo mmoja kwny maisha kila mtu yuko na goals zake
 
Kuna ukomo wa umri?

Maana michongo kama hii mara nyingi huwa na age limitations...
 
kama hizo nafasi zingekuwa zinapatikana kirahisi mbona wabongo wangeisha woote mtaani, tatizo kuna figisu sana hadi kuweza kutoboa maana hata sie wabeba boksi mpaka tunavuka tunafika pande hizi ni majaliwa kama yule wa lake victoria , maana ukiangalia hayo mavizingiti tuliyovuka ni Mungu mwenyewe anajua. watu kimsingi ni mtaji mkubwa sana ni kwa vile basi tu.
 
brother Tanzania haitakuja kuwa nchi inayoeleweka kwasababu misingi yake ilishaharibika toka mwingi ameingia madarakani
Magufuli aliweza kuibadilisha hii nchi kutoka kwenye mfumo fulani na kuwa kwenye mfumo aliotaka yeye
Mpaka leo nchi inaendeshwa kwa kuiga vitu kadhaa kutoka kwa magufuli
Umimi ndiyo ulimuangusha

Akipatikana mtu smart kama rais wa kenya alafu awe hana tamaa ya mali awe kwa niaba ya nchi na wananchi
Tanzania itabadilika yani awe ccm lakini awasaliti wenzie watu wenye akili watamuunga mkono nchi itabadilika
 
Upo nchi gani brother..??
 
Wacanada sio wajinga hawawezi kuchukua mapoyoyo kutoka Tz,mkaaribu kizazi Chao,watu hata kudai haki zenu za msingi mnaogopa kaeni kwenu mnywe maji ya kisima

Ndio Tanzania yetu, siku kikinuka mtaona wanaisasa na watoto wao wanavokimizana JK Nyerere, kila mwanasiasa anahakikisha mwanawe ana uraia wa nchi zenye maisha mazuri, mtu una degree unakuaje poyoyo
 
Vigezo wanavyo taka ni mtihani kwa wahitaji wengi achilia mbali passport! Kwa gharama hizo wanahitaji matajiri wakafanye kazi

Kama Passport ya 150,000 ni ngumu kupata hata kwa miezi 6 ndugu yangu basi usiombe, hivi wengine wanawezaje, kuna nchi in awatu masikini kama India? mbona wanaweza
 
Kuna ukomo wa umri?

Maana michongo kama hii mara nyingi huwa na age limitations...

Ndugu haina umri, Kama una watoto na unataka watoto wako wapate elimu, malazi, maisha basi waondoe kwenye shamba la bibi ambalo wakulima wake wanaishi maisha ya shida na magumu ili wanunuzi wanufaike kisha wanaanza kuwatukana wakulima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…