Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Morocco waliwahi omba kujiunga na EUBarua iko wapi ? EU ni nchi za Ulaya Canada haipo Ulaya ipo bara la Americas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morocco waliwahi omba kujiunga na EUBarua iko wapi ? EU ni nchi za Ulaya Canada haipo Ulaya ipo bara la Americas
Canada is a constitutional monarchy under the British monarchy. The current monarch of Canada is King Charles III.Cadana sio nchi ya Uingereza (United Kingdom) hii ni nchi inayofuata common wealth lakini sio nchi ya United Kingdom. Wanaweza kufanya lolote. Pili United Kingdom imejitoa EU!
Waafrika ndivyo tulivyo tunaanzisha taasisi tunatega kama NGO zinavyoendeshwa, waanzilishi wa NGO wametega kupata misaada kutoka nje kujiendesha, unakuta NGO imekufa lakini wenye NGO wamejenga maghorofa na miradi mikubwa nje ya NGO, wanatumia taasisi kama miradi binafsi.Hii Organ imekuwa ni Joke.
Canada is a constitutional monarchy under the British monarchy. The current monarch of Canada is King Charles III.
Wewe ni mwehu hatupo hapa kuongelea habari za nani aliyefika Canada unafikiri kila mtu ni mshamba mwenzioUmeshafika Canada au mnashinda hapa kuongea pumba. Mimi nilikuwa huko mwezi wa kumi na moja wewe mwenzangu au mi kuongea ongea tu
Barua iko wapi ? EU ni nchi za Ulaya Canada haipo Ulaya ipo bara la Americas
Israel hushiriki mashindano ya ueafaBarua iko wapi ? EU ni nchi za Ulaya Canada haipo Ulaya ipo bara la Americas
Unaota.Mtawala wa Canada ni King Charles III. So inaweza kuomba uanachama kupitia mgongo huo.
Hajui kitu huyo, naishi Toronto zaidi ya miongo miwili. Waswahili ujuaji wa wasivyovijua ni kawaida yao.Umeshafika Canada au mnashinda hapa kuongea pumba. Mimi nilikuwa huko mwezi wa kumi na moja wewe mwenzangu au mi kuongea ongea tu
Si lazima ardhi iwe Ulaya. Kwanza Canada imepakana na Umoja wa Ulaya.Barua iko wapi ? EU ni nchi za Ulaya Canada haipo Ulaya ipo bara la Americas
Watoto wa siku hizi mnajua kila kitu😂🤦🏾♂️Si lazima ardhi iwe Ulaya. Kwanza Canada imepakana na Umoja wa Ulaya.
Hata kugoogle tu unashindwa!!?Watoto wa siku hizi mnajua kila kitu😂🤦🏾♂️
Canada bado inatawaliwa King Charles III sio nchi huru.Cadana sio nchi ya Uingereza (United Kingdom) hii ni nchi inayofuata common wealth lakini sio nchi ya United Kingdom. Wanaweza kufanya lolote. Pili United Kingdom imejitoa EU!
Ndo mtu sahihi wa kuimalizia marekani .. make usa silly againTrump ni mwendawazimu aliyekabiddhiwa rungu.
Haina tatizo mbona NATO Ina wanachama kutoka America na Europe 😄Barua iko wapi ? EU ni nchi za Ulaya Canada haipo Ulaya ipo bara la Americas
HIyo request walikutumia kwenye email yako?Canada imewasilisha ombi la kushtukiza usiku wa kuamkia leo la kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya, likichochewa na matamshi ya Donald Trump kuhusu kuifanya nchi hiyo kuwa jimbo la 51 la Marekani.
Wakati Rais wa Tume ya Ulaya Ursula von der Leyen alipoangalia kisanduku pokezi chake asubuhi ya leo, hakutarajia kupata barua pepe kutoka kwa Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau iliyoandikwa 'HARAKA'.
Le Chou: Canada Applies For EU Membership