Canada yaomba kujiunga na Jumuiya ya Ulaya (EU)

Canada yaomba kujiunga na Jumuiya ya Ulaya (EU)

Cadana sio nchi ya Uingereza (United Kingdom) hii ni nchi inayofuata common wealth lakini sio nchi ya United Kingdom. Wanaweza kufanya lolote. Pili United Kingdom imejitoa EU!
Canada is a constitutional monarchy under the British monarchy. The current monarch of Canada is King Charles III.
 
Hii Organ imekuwa ni Joke.
Waafrika ndivyo tulivyo tunaanzisha taasisi tunatega kama NGO zinavyoendeshwa, waanzilishi wa NGO wametega kupata misaada kutoka nje kujiendesha, unakuta NGO imekufa lakini wenye NGO wamejenga maghorofa na miradi mikubwa nje ya NGO, wanatumia taasisi kama miradi binafsi.

Na AU hivyo hivyo nadhani wanatafuta wafadhili kujiendesha. Husikii hata wakikutana tena huko Adiss Ababa.

Kwanini SADC kama tunayo AU?
 
Canada is a constitutional monarchy under the British monarchy. The current monarch of Canada is King Charles III.

Umeshafika Canada au mnashinda hapa kuongea pumba. Mimi nilikuwa huko mwezi wa kumi na moja wewe mwenzangu au mi kuongea ongea tu
 
Umeshafika Canada au mnashinda hapa kuongea pumba. Mimi nilikuwa huko mwezi wa kumi na moja wewe mwenzangu au mi kuongea ongea tu
Wewe ni mwehu hatupo hapa kuongelea habari za nani aliyefika Canada unafikiri kila mtu ni mshamba mwenzio
 
Barua iko wapi ? EU ni nchi za Ulaya Canada haipo Ulaya ipo bara la Americas
Screenshot_20250204-173019.jpg
Screenshot_20250204-173027.jpg
 
Umeshafika Canada au mnashinda hapa kuongea pumba. Mimi nilikuwa huko mwezi wa kumi na moja wewe mwenzangu au mi kuongea ongea tu
Hajui kitu huyo, naishi Toronto zaidi ya miongo miwili. Waswahili ujuaji wa wasivyovijua ni kawaida yao.
Just let him daydream.
 
Cadana sio nchi ya Uingereza (United Kingdom) hii ni nchi inayofuata common wealth lakini sio nchi ya United Kingdom. Wanaweza kufanya lolote. Pili United Kingdom imejitoa EU!
Canada bado inatawaliwa King Charles III sio nchi huru.
 
Canada imewasilisha ombi la kushtukiza usiku wa kuamkia leo la kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya, likichochewa na matamshi ya Donald Trump kuhusu kuifanya nchi hiyo kuwa jimbo la 51 la Marekani.

Wakati Rais wa Tume ya Ulaya Ursula von der Leyen alipoangalia kisanduku pokezi chake asubuhi ya leo, hakutarajia kupata barua pepe kutoka kwa Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau iliyoandikwa 'HARAKA'.


Le Chou: Canada Applies For EU Membership
HIyo request walikutumia kwenye email yako?
Tufanye uongo wako ni kweli, kumbuka
Uingereza alishaamua kujitoa huko.

Pia unadhani kuna kitu ataipunguzia US? Maana Canadians are more Europeans than Americans, halafu bado soko la Marekani na vinginevyo ataendelea kumtegemea Marekani.

Halafu huko Ulaya ni kwa vile mliwazoea leftwings ndiyo wanaongoza, msichojua wengi ni kwamba Rights wing wa Ulaya hata Trump anasubiri na sasa hivi rightwings ndiyo wanakuja kuikamata Ulaya ili waisafishe na kuirudisha mijitu na mitoto yao kwenye misingi na asili.

Hivyo ikitokea Canada amekubaliwa, ajiandae tena kuomba kurudi kujiunga na Marekani. Kwanza haiwezi kuwa overnight, kuna nchi zimetuma maombi yapo kwenye foleni miaka kibao.

Wait a minute, hivi unajua kwamba mwezi ujao a Key EU member Ujerumani anafanya uchaguzi na Chama amnacho ni far-right, Elon Musk-endorsed ndiyo kinaongoza polls?

Ujerumani wanaelekea kuungana na wapiga kura wa Italy, Austria, Belgium, Jamhuri ya Czech, Hungary, Finland, Poland, Norway, Netherlands na Ufaransa ambao wote wamechagua rightwings na wanaunga mkono sana style ya uongozi na maamuzi ya Trump
 
Ijapokuwa hii ni habari fake lakini kwa sasa Ulaya kuna maajabu gani kama sababu ni za kiuchumi?
 
Back
Top Bottom