Canada’s Prime Minister begs Kenya President for one million immigrants

iyo habari ni fake bwana..malamka za canada wamekanusha uwepo izo habari za waziri wao kuomba wahamiaji milioni 1 ...na wakati Kenyatta mwenyewe yupo china huko na yy anaomba ufweza ...
 
iyo habari ni fake bwana..malamka za canada wamekanusha uwepo izo habari za waziri wao kuomba wahamiaji milioni 1 ...na wakati Kenyatta mwenyewe yupo china huko na yy anaomba ufweza ...
Fake maana bongolala hawajatajwa? Lol ,mnatia huruma
 
Fake maana bongolala hawajatajwa? Lol ,mnatia huruma
swala sio sababu Tz haipo..swala ni kwamba iyo issue ni fake sio official statement from canada kama balozi tu ya canada kule naija wamekataa izo news tena the same content
 
Alafu kuna ule wakati alilazimisha Tanesco kupunguza bei ya stima kiasi cha kua watakua wanapata hasara ili wananchi wa enjoy stima ya bei nafuu...




________
Tanzania said in January it was seeking a loan of $200 million from the World Bank for its debt-ridden state power supplier Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) after the country's president refused to allow the utility to raise prices to cover costs.

President John Magufuli wants cheap electricity to drive industrialisation, but the World Bank is likely to insist the loss-making utility increases prices so it can cover the cost of producing power and begin much-needed reforms.

TANESCO has debts of $363 million, up from $250 million at the end of 2015.
___________
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jiwe ni mwiba Kwa watanzania atawadungadunga hadi awamalize,Heri wamchague Tundu lisu iwapo wanataka kuwa katika uchumi wa Kati.
 
While I can not ascertain the veracity of the OP. It is clear to any country that kenyan immigrants form a crucial backbone for any country western or african. For years botswana has relied on kenyan expertise and kenyan business acumen to drive their economy. America also ranked kenyan among the top performing immigrant community in their country with many working in high skill sectors eg Tesla,Google, doctors, Academicians in their universities etc. One of the largest beef cattle farms in botswana is owned by a kenyan, the IT policy of Rwanda was formulated by a kenyan. Traffic problems in london were solved by a kenyan in the UK, a kenyan once headed the american consumer product giant procter and gamble. The list is quite long.
 

Lol

Kenyans work on orders from above.
 
fake news
Upo sahihi
Ukiona habari kama Hii haipo kwe website ya Immigration Canada ujue ni habari ya kutengeneza
Hakuna kitu kama hiki
Kila mtu kutoka mataifa yoyote unaweza kwenda kusoma kufanya kazi kuishi kuinvest hata kutembea ilimradi ukidhi vigezo.
Wakenya wamecopy Hii story ipo tangu 2017 sasa walio mabwege wacha walizwe na maagent fake..
Kuwa na uhakika nenda kwenye balozi zao upate uhakika sio kukurupuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…