LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Tayari kuna tangazo la TCRA kuashiria kuanza kwa mileage dhidi ya matumizi ya decoder ya CANAL+ Nchini tanzania na hiyo ni kwa sababu inaleta ushindani kwa dstv.
Badala ya kufikiria kuipiga marufuku decoder hiyo iwape utaratibu wa kufanya ili nayo ilete changamoto chanya kwa wapenzi wa soka hapa nchini kujionea ligi mbalimbali za nje kwa bei rafiki.
Badala ya kufikiria kuipiga marufuku decoder hiyo iwape utaratibu wa kufanya ili nayo ilete changamoto chanya kwa wapenzi wa soka hapa nchini kujionea ligi mbalimbali za nje kwa bei rafiki.