Canavaro wa Yanga na rekodi ya kipekee Duniani

Ahsante mkuu Makoye Matale ,hii ilinitoka kidogo.Shukran kwa kuiweka sawa.Anyway,MIKIA FC inawauma sana but no way out!!!!
 
Last edited by a moderator:
Tunashukuru mkuu kwa ufafanuzi wako
 

Mi nimekuelewa sasa unatakaje?
 
Tunashukuru mkuu kwa ufafanuzi wako

Mkuu Signature yako ina maandishi mekundu yanayoonesha kuwaunga mkono mikia, hata mimi zamani nilikuwa na maandishi mekundu, nilivyotafakari kwa kina (critical thinking) nikaona kuwa nawapa faida mikia bila kudhamiria nikabadilisha kama inavyoonekana sasa. Wewe mkuu unaonaje ukibadilisha pia?
 
Aise JF ina raha mpaka basi!!
 
​hivi hii rekodi haijaingia kwenye kitabu cha guiness tu hadi leo???

Nadhani FIFA na VYAMA VYAKE wapo humu so ngoja tuone akina malinzi watatoa neno gani.
But mkuu hiyo ID yako mbona imekaa kifisadi?
Kwani ulikosa ID?dah!!!!! yani ni sheeeedah!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu anashikilia record gani wakuu?
mie naikumbuka ile ya kuwalaza watu saa 12 jioni!!!
Anashikilia record ya kuwa mchezaji mwenye sauti na maamuzi yote ya klabu ya simba kuliko mwenyekiti wa timu, kocha na viongoz wengine....
 
Zanzibar haitambuliki so Ni kama captain wa timu ya mchangani tu
 

Mh! haya najua we yangatu
 
Mmesahau record nyingine,pia huyu carnavaro ni captain wa familia yake pale home
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…