health
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 325
- 39
- Thread starter
-
- #21
Mkuu umeongea kweli hata mie nimeishakutana nao saana hawa watu mitaani.
Wao wamepewa kazi ya kuuza tu na elimu hawana juu ya walitendalo.
Huwa nashangaa hawapo serious kabisa wakizingatia wanadeal na afya ya binadamu moja kwa moja.
Kingine hizi bidhaa zao ni za msimu tu baada ya muda hupotea na kuja product nyingine kwa jina jingine.
Wananchi wajiangalie saana kwenye haya mambo wasichukulie kirahisi rahisi tu.
Mtu wa maana ni yule anaekuelekeza aina ya chakula unachotakiwa kula na sio hizo dawa/food supplement zao.
Usiwe miongoni mwa wanaosikia tu sababu utakuwa hujafanya research na kama huna reseacrh huna haki ya kuongea. Njoo kwa ofisi uweze kuelimishwa zaidi ili uweze kuelewa ni jambo gani hili tofauti na fikra duni ulizo nazo. 0776491294