Mkuu mimi napata tatizo maumivu chini ya kitovu sana sana nisipokula kwa wakati,then inanifanya naenda chooni kabla na baada ya kula,hiyo sio dalili kweli mkuu?peptic ulcers or gastric ulcers zinatokea katika sehemu ya kwanza ya utumbo inayojulikana kama duodenum, colon cancer inatokea kwenye colon ambayo ni utumbo mkubwa, Peptic ulcers zinakua diagnosed kwa kifaa kinachoitwa endoscopy.
Jamaa muongo huyuMimi ninapo mtibia mtu huwa ninamwambia aende kupima Hospitali na vipimo vya kizungu ili athibitishe kuwa amepona kwa dawa zangu sibahatishi katika utibabu wangu.Ninatibu maradhi mengi mpaka maradhi ya ukimiwi ninatibu pia.
Niache na uongo wangu wewe kaa na huo ukweli wako unao ujuwa.Jamaa muongo huyu
Mkuu ugonjwa gani huwezi kutibu?Mimi ninapo mtibia mtu huwa ninamwambia aende kupima Hospitali na vipimo vya kizungu ili athibitishe kuwa amepona kwa dawa zangu sibahatishi katika utibabu wangu.Ninatibu maradhi mengi mpaka maradhi ya ukimiwi ninatibu pia.
Swali zuriMkuu ugonjwa gani huwezi kutibu?
Kweli ndio maana bongo hatutoki tulipo kila MTU mtaalam mbona hamtokezi kutangaza kuwa mnatibu wanyama wengine kama ngimbe,mbuzi nk.Niache na uongo wangu wewe kaa na huo ukweli wako unao ujuwa.
ok, mwili wa binadamu una gastric ambayo ni acid inakaa tumboni, acid hii imewekwa kama sehemu ya kinga ya mwili, kila chakula unachokula kinapofika tumboni kinazungukwa na acid hii kabla ya kusagwa na kugawanywa. Hii acid inaua vidudu vyote ambavyo vingekuletea madhara kwenye mwili. Mara unapoanza kusikia harufu ya chakula na kuanza kutafuna hii acid inaanza kuntengenezwa kusubiri chakula utakachomeza. Kwa watu wengine (wachache) acidi hii husababisha vidonda viitwavyo peptic ulcers or gastrict ulcers.