Can't you Love Someone with all your eyes Clear?


kwi kwiiiiii ..mwambie aendeleeee kunimendea tu but asisahau kuja na dawa ya kujinasua!
 
Kongosho weee i cant believe this niliko bold ni ukweli??? haha haaaaaaa
Babu mi naghairi simwiti Bibi nakutunzia tu heshima yako lolz


Mbona unakimbia??


Najua kuwa unatambua kwamba hilo jaribio ulilotaka kufanya lingekuozea mikononi...

Ulishaona hasira ya kumchapa mtoto haalafu halii??

Babu DC!!
 
Haya kimbia haraka, mwache babu Dark City ahangaike na wazee wenzie


Mbona sasa unablow trumpets ambazo sizo??

Babu DC anahangaika na mzee mmoja tu, naye si mwingine bali Bibi wa ajukuu zake....

The door was closed kitambo na funguo zilishapotea......

Ni vigumu kuyameza hayo Kongosho??

Ila ufunguo wa chumba cha kupigia story na wajukuu zetu bado upo, anakaa nao Bibi na neggirl anakaribishwa sana...

Ila wakubwa wenzangu hawaruhusiwi....

Ca va??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha, hutaki tena kubustiwa???

Acha niblow tu, zinanipa faraja

Ujue mvi za babu zinavutia sana?

 
Ha ha ha ha, hutaki tena kubustiwa???

Acha niblow tu, zinanipa faraja

Ujue mvi za babu zinavutia sana?

Kuziangalia ruksa,

But, don't touch at all....!!


Imezuiliwa chini na juu.......Hope ulinusa JK, otherwise pole sana!!

Babu DC!!
 
Ujue vilivyokatazwa huwa more exciting?

Hukuwahi toroka jeshini kwenda kuiba mahindi? Au hukupita huko?

Kuziangalia ruksa,

But, don't touch at all....!!


Imezuiliwa chini na juu.......Hope ulinusa JK, otherwise pole sana!!

Babu DC!!
 
Ujue vilivyokatazwa huwa more exciting?

Hukuwahi toroka jeshini kwenda kuiba mahindi? Au hukupita huko?


Hiyo ilikuwa raha ya akili ya form 6 kucheza na ile ya form 6 (Afande)!!

Mie nilikuwa kamanda wa kundi la kuiba zabibu pale Makutupora na nilikuwa na MP mmoja mvuta bangi ambaye alikuwa swahiba wa nguvu....duhhhhhhhhhhhhhhhh....Makutu ilikuwa poa sana hadi ikaitwa makutupoa!!

Halafu kwa ujinga, zababu nyingine tulikuwa tunazitumia kupata wadau wa kusimika nao minazi....uwiiiiiiiii.....!!!!

Ila bahati mbaya sasa mambo yameshazuiliwa chini na juu....strictly pohibited kwa sababu tumestaafu...

So sad for Kongosho na pole sana....

Babu DC!!!
 
Last edited by a moderator:
Old is gold

Kuna haja ya kupitia mafail yako ya old:high5:

 
Mbona unakimbia??


Najua kuwa unatambua kwamba hilo jaribio ulilotaka kufanya lingekuozea mikononi...

Ulishaona hasira ya kumchapa mtoto haalafu halii??

Babu DC!!

haha haaaaa babu nakimbizwa na mengi hapa jama..ikiwemo Kongosho keshaniambia nikae chonjo lol..chezeya kichapo wewe... mie ndukiiiiiiiiiiiiiii
 
Last edited by a moderator:
haha haaaaa babu nakimbizwa na mengi hapa jama..ikiwemo Kongosho keshaniambia nikae chonjo lol..chezeya kichapo wewe... mie ndukiiiiiiiiiiiiiii
neggirl wala usiogope....maji ya moto hayachomi nyumba bana
 
Last edited by a moderator:
kwi kwi kwiiiiiii Kaizer wewe hunipendi lolz
bora unipe hako kachupa kwa avatar kuliko huko unakonituma!

Basi come this way and we have it together maana the end justifies the means lol
 
Last edited by a moderator:
Uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…