jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,782
...ila baada ya hapo upofu unatoweka na mtu anakubali matokeo.....
Babu DC!!
Babu, wakati mwingine huwa natamani nimuone bibi lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...ila baada ya hapo upofu unatoweka na mtu anakubali matokeo.....
Babu DC!!
Babu na neggirl??
Mnafanya nini?
Ujue babu nitakapiga kajukuu kako, kanaanza kukumendea.
( Nimegundua wazee wenzangu humu ni wachache sana, bila kutangaza wazee jf ni 'endangered specie', wanaweza wakaliwa na vitoto wakati kuna vitit wenzao wa kuwala )
Kongosho weee i cant believe this niliko bold ni ukweli??? haha haaaaaaa
Babu mi naghairi simwiti Bibi nakutunzia tu heshima yako lolz
Babu, wakati mwingine huwa natamani nimuone bibi lol
Haya kimbia haraka, mwache babu Dark City ahangaike na wazee wenzie
Mbona sasa unablow trumpets ambazo sizo??
Babu DC anahangaika na mzee mmoja tu, naye si mwingine bali Bibi wa ajukuu zake....
The door was closed kitambo na funguo zilishapotea......
Ni vigumu kuyameza hayo Kongosho??
Ila ufunguo wa chumba cha kupigia story na wajukuu zetu bado upo, anakaa nao Bibi na neggirl anakaribishwa sana...
Ila wakubwa wenzangu hawaruhusiwi....
Ca va??
Babu DC!!
Ha ha ha ha, hutaki tena kubustiwa???
Acha niblow tu, zinanipa faraja
Ujue mvi za babu zinavutia sana?
Kuziangalia ruksa,
But, don't touch at all....!!
Imezuiliwa chini na juu.......Hope ulinusa JK, otherwise pole sana!!
Babu DC!!
Ujue vilivyokatazwa huwa more exciting?
Hukuwahi toroka jeshini kwenda kuiba mahindi? Au hukupita huko?
Hiyo ilikuwa raha ya akili ya form 6 kucheza na ile ya form 6 (Afande)!!
Mie nilikuwa kamanda wa kundi la kuiba zabibu pale Makutupora na nilikuwa na MP mmoja mvuta bangi ambaye alikuwa swahiba wa nguvu....duhhhhhhhhhhhhhhhh....Makutu ilikuwa poa sana hadi ikaitwa makutupoa!!
Halafu kwa ujinga, zababu nyingine tulikuwa tunazitumia kupata wadau wa kusimika nao minazi....uwiiiiiiiii.....!!!!
Ila bahati mbaya sasa mambo yameshazuiliwa chini na juu....strictly pohibited kwa sababu tumestaafu...
So sad for Kongosho na pole sana....
Babu DC!!!
Mbona unakimbia??
Najua kuwa unatambua kwamba hilo jaribio ulilotaka kufanya lingekuozea mikononi...
Ulishaona hasira ya kumchapa mtoto haalafu halii??
Babu DC!!
UongoWanabodi salama?
Najua ni BLUE MONDAY..lakini sio issue sana mradi jamvi lipo naamini hakuna kinachoharibika... Kumekuwepo na 'myth' kwamba LOVE IS BLIND...ikimaanisha kuwa mara nyingi mapenzi ni UPOFU..na unapokuwa unampenda mtu huwezi kuona hata yale yanayoonekana kwa wenzio (kwa wale waabudu limbwata mtanisamehe..hapa naongelea mapenzi yasiyo na catalyst yeyote....)
Gwiji wa miondoko laini (blues) Michael Bolton katika wimbo wake wa 'WHEN A MAN LOVES A WOMAN anasema hivi..na hapa namquote
Sasa hapa ndio najiuliza hivi ni kweli 'loving eyes can never see'?....hebu EMT, Mtambuzi , snowhite , gfsonwin , King'asti , BADILI TABIA , AshaDii , Dark City , saudari , lara 1 , nivea , Mr Rocky Eiyer na wengineo wote nisaidieni hapa..Nataka nione at the same time nipende....
Karibuni..........