yaani mimi sina mbavu hapa nilipo..... hii mifano yako yaani inawatokeaga sana tu.....Mkuu ila nyingine ni beyond kujiendekeza au kuigiza....
Hivi ina maana wewe hujawahi kutandika kitanda mara kumi kumi au kudeki room kama mara 3 hivi ndani ya lisaa limoja kisa, una appointment??
Yaani damu inazunguka utadhani mwilini una mapipa kama mawili hivi....lol!!
Ni tamu ila sasa ni deadly....
Babu DC!!
I wish I can
LAkini ndo basi tena, samaki aliwa tuuu, na magamba mwampara, pande mbili mwamgeuza lol!!
Mkuu ila nyingine ni beyond kujiendekeza au kuigiza....
Hivi ina maana wewe hujawahi kutandika kitanda mara kumi kumi au kudeki room kama mara 3 hivi ndani ya lisaa limoja kisa, una appointment??
Yaani damu inazunguka utadhani mwilini una mapipa kama mawili hivi....lol!!
Ni tamu ila sasa ni deadly....
Babu DC!!
ahahaahhahhaa we acha tu!af ukute mzee k kakaa sebuleni kwake na huwezi kuchomoka kwenda kokote unatamnije upae sasa na huku unajua watu wanadeki mara sita sita huko mweee!jamani jamani!hebu mi nikahamishe goli langu sa hzyaani mimi sina mbavu hapa nilipo..... hii mifano yako yaani inawatokeaga sana tu.....
nasema inawatokeaga sana tu sababu siyo kawaida yenu kutandika kitanda mara kumi mpaka pale inapobidi, lol!.....
sasa itokee umeshadeki na kutandika sana halafu ukajikuta mpaka giza linaingia, hola...... (enzi zile wakati hakuna vilongalonga vya viganjani, simu mpaka kwa jirani, lol!)
This what I said from the start...
Huwezi kuwa kipofu forever hata kama ni limbwata bwana....
I don't believe in that kind of love...!
Babu DC!!
FP naomba nikuhakikishie kwamba hata sasa hivi kilonga longa chazimwa ati! unabaki kushangaa tu afu unakuja kuambiwa 'simu iliisha chaji':eyeroll1:yaani mimi sina mbavu hapa nilipo..... hii mifano yako yaani inawatokeaga sana tu.....
nasema inawatokeaga sana tu sababu siyo kawaida yenu kutandika kitanda mara kumi mpaka pale inapobidi, lol!.....
sasa itokee umeshadeki na kutandika sana halafu ukajikuta mpaka giza linaingia, hola...... (enzi zile wakati hakuna vilongalonga vya viganjani, simu mpaka kwa jirani, lol!)
So, you mean its something uncontrollable and unconditional..right?
Kwamba ukishafall in love with somebody unapoteza ile 'reasoning' power yako na unafanya judgements na decision based on you 'emotional feelings'?....Lakini wakati mwingine nadhani unaweza pia kunampenda mtu na unaona kabisa afanyayo sio sahihi..but unafanya just kumfurahisha ili asikasirike though moyo wako unajua kabisa amechemka..unafanya 'makusudi' kutoona but in reality you just see na unaujua ukweli...Huu unaweza usiwe upofu bali ni 'pretendence'. I still think unaweza ukawa impartial kwenye maamuzi hata kama yanainvolve your partner...kikubwa do it from the get go...
babu leo anafunguka hapa!mi nipo tu kwenye mkeka namsikiliza af kuna siku nitamkumbusha hizi storyusijali my dear....
kwanza ngoja nichukue haki yangu "marahaba mdogo wangu"
endeleza tu hizo story na babu
Huwezi kuwa kipofu milele
Ila sema kuna mapungufu ya mtu yanayovumilika.
Raha anayokupa ukilinganisha na mapungufu yake huoni kama mzigo
Unakula maisha kwa raha tu
hahhaah basi relax Kongosho and enjoy what nature dictates....lol hapo pengine kuna mtu alikuwa amenioffer study tour kwenda ule upande mwingine kujifunza, lakini haya yaliyotokea yamenikata stimu kabisa:lying::A S shade:
si bora mzee K anakuwa amekaa tu sebuleni, unaweza kujifanya kama unaenda kuchukua kitu huko nyuma unasepa kwa mlango wa nyuma. akiwepo mama k yeye sasa ndo balaa linapoanzia, anatuma hiki mara kile, na kila unapomaliza alichotuma lazima ukaripoti kwa ukaguzi, kuna kuchomoka hapo?ahahaahhahhaa we acha tu!af ukute mzee k kakaa sebuleni kwake na huwezi kuchomoka kwenda kokote unatamnije upae sasa na huku unajua watu wanadeki mara sita sita huko mweee!jamani jamani!hebu mi nikahamishe goli langu sa hz
ahahahhhah ila The Boss umeniacha hoi!lol!
ina maana pacha limbwata akichanganyiwa mwenye upofu si ndio uzezeta wenyewe huo lakini!au ah banaaa hiyo itakuwa beyond borders!Naona tunamkuza hapa...
Ila ni vizuri akiyajua haya kungali mapema
Maana kuzaliwa mwanaume ni kazi...lolz
Upofu wako na malimbwata yaani full dose...
Haya ndiyo tunayoyasema mapenzi ni imotional zaidi na ukijaribu kutumia akili basi hayo si mapenzi..
Ukiona unafanya kitu kwa mpenzi wako kimamuudhi halafu wewe hupati hisia za aina yoyote, basi chapa lapa kwani huyo utakuwa humpendi....
Ukipenda mtu, hata akipiga chafya tu wewe unaugua homa.....
Ila Mungu naye mjanja...angeacha hayo mambo hadi ukubwani basi dunia yote ingekuwa inaishi Mirembe...
Babu DC!!
This what I said from the start...
Huwezi kuwa kipofu forever hata kama ni limbwata bwana....
I don't believe in that kind of love...!
Babu DC!!