Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Dah kumbe wewe ndio Ngabu, mimi ni waiter hapa nilikuletea menu uicheki. Haya ntaona hao maduu wakiagiza hata fanta pineapple zipo. Kula bata man.
Nyani Ngabu Zanzibar utakwenda lini ukakamatie watoto wa kimanga?
Ngabu unawazingua dada zetu rudi kabebe box sio unawanyegelesha dada zangu naona ukiondoka kiwanja ndio unakirusha humu;what a mazafanta
Hapo wenye mademu zao wananuuuuna wanajua hawana ubavu wa kuwapeleka hapo kagua PM
Hapo wenye mademu zao wananuuuuna wanajua hawana ubavu wa kuwapeleka hapo kagua PM
Hebu kuwa na dabu we dogo....au hadi nimle dadako ndo utaniheshimu?
Vunja mifupa kama bado meno iko....Huko natinga wiki ijayo...nasubiri mfungo uishe.
Nyani ngubu nao una timiza ahadi zako Jana uli haidi leo zamu ya CTFM Na kweli ume tinga???jana hujatupa mlejesho
Ntakuchapaaa
We beki tatu wangu kaa kimya.
Hizi sio level zakoπππ.
We ntakupeleka Catalunya ukale takko la mbuzi na ndizi choma ushushie na Savanna Dry.
View attachment 362643
Hahaaaa hivi ulidhani natania?
I don't play man...