Cape Town Fish Market

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
What up y'all?

Easy like Sunday evening....

Leo ni zamu ya wadada wa mjini kuja kula good time na Mr. Panty Melter.

Unajua kila sehemu na levels zake. Kwa hiyo leo nataka kampani ya wadada wa mjini waliozoea zoea sehemu kama hizi.

Wewe mdada wa mjini kuja hapa CTFM tunywe sparkling wine na tule sushi.
PM me if you're game.
And don't worry...we're not going dutch when you get here. I got you covered.

 
Nipo nimekaa hapa kwenye sushi bar kwa sasa.

Come holla at me.

 
Dah kumbe wewe ndio Ngabu, mimi ni waiter hapa nilikuletea menu uicheki. Haya ntaona hao maduu wakiagiza hata fanta pineapple zipo. Kula bata man.
 
Daah...mkuu unatutamanisha Wala bata tuliofulia msimu huu...na weekend hii dah.
 
Dah kumbe wewe ndio Ngabu, mimi ni waiter hapa nilikuletea menu uicheki. Haya ntaona hao maduu wakiagiza hata fanta pineapple zipo. Kula bata man.

Hahaaa kumbe mshikaji ndo wewe?

Hebu kunywa basi na wewe hata cocktail moja halafu iweke kwenye bill.

 
Ngabu unawazingua dada zetu rudi kabebe box sio unawanyegelesha dada zangu naona ukiondoka kiwanja ndio unakirusha humu;what a mazafanta
 
Ngabu unawazingua dada zetu rudi kabebe box sio unawanyegelesha dada zangu naona ukiondoka kiwanja ndio unakirusha humu;what a mazafanta

Hebu kuwa na dabu we dogo....au hadi nimle dadako ndo utaniheshimu?
 
Hapo wenye mademu zao wananuuuuna wanajua hawana ubavu wa kuwapeleka hapo kagua PM
 
Nyani ngubu nao una timiza ahadi zako Jana uli haidi leo zamu ya CTFM Na kweli ume tinga???jana hujatupa mlejesho
 
You truly got it going on man. Another woulda been trippin' and flexin' for verification, but you just coolin' low-pro true playa's way. Attaman.
 
Ntakuchapaaa

We beki tatu wangu kaa kimya.

Hizi sio level zakoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.

We ntakupeleka Catalunya ukale takko la mbuzi na ndizi choma ushushie na Savanna Dry.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…