Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,789
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Zainab Tamim asante kwa kunishauri,
Lakini mimi binafsi nina fursa yangu ambayo nahisi na najua nina uzoefu nayo kwaiyo kuhama na kwenda kwenye swala jingine itanichukua muda na itaniwia ugumu kidogo.
Mama kama utapendezwa nisupport kijana wako, nitakupatia vyeti vyangu original ukaenavyo kama dhamana (Olevel na Alevel) ambavyo nina pass mark nzuri tu (DIV ONE) so siwezi kuvitelekeza.
Yaani nimehangaika kila mahali maBank, Microfinance na watu binafsi lakini kote nimetoka kapa.
Hiyo ID yako imekaa ki wizi wizi nani akukopeshe?
Asante kwa maelezo yako, lakini sina uwezo wa kukusaidia mtaji wa fedha, ninachoweza kukusaidia ni hicho cha kukushauri na kukuingiza katika ujasiriamli wa mtaji mdogo sana ambao ukiufanyia bidii baada ya muda mfupi unaweza ukalimbikiza mtaji unaouhitaji, yote itategemea na bidii yako tu.
Nashkuru mama kwa kunipa support hata ya ushauri. Ngoja niifikirie naweza kuifanyia kazi ikibidi.
Ubarikiwe
Kwa nini usiweke hata Idea ya project yako tukaona kama inalipa tu wekeze wote?? Au wewe unataka kufanya kivyako vyako?
Kwa nini usiweke hata Idea ya project yako tukaona kama inalipa tu wekeze wote?? Au wewe unataka kufanya kivyako vyako?
Wakuu,
Msione vijana tumekaa hatuna hili wala lile...
Capital capital capital ndo TATIZO, yaani kama huna mtu wa kukushika mkono au kukudhamini Ni msoto sana.
Mi nahitaji Mil5 tu nina very good and productive opportunity lakin sasa napata msoto kwelikweli.
Kwa yeyote atayeweza kuni support tushirikiane please ni-PM