Captain Jack Sparrow

Mi nlipenda pale alipokutana na dingi/mzee wake kwenye At the World's End na At Stranger's Tides mzee wake akamwambia something in the lines of

"the problem is not living forever, Jackie. But living forever all by yourself"

Akamjibu

"Well, I can live with that!"
 
Sana sana kuna wale jamaa wawili mmoja anajicho bandia huwa sichoki kuwaangalia maana ni wanaongea na kufikiria ujinga mda wote[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wale nivilaza [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Wale nivilaza [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ni vilaza haswaaaa[emoji23][emoji23][emoji23].... Wananogesha sana ile movie toka ya pirate ya kwanza, kwenye dead man chest nako kule balaa...pale wapo msituni wanataka kuiba ule moyo[emoji23][emoji23][emoji23] wanavyo kimbizana!
 
ile meli inaitwa the flying Dutchman chini ya captaincy ya Davy Jones aka pweza mtu
Duh mkuu nlikuwa nmeisahau jina asee maana ni kitambo nlivyo iangalia[emoji23][emoji23][emoji23]... Sema ile meli ni kiboko![emoji23][emoji23]
 
Na yule Kraken wa Davy Jones kwenye Dead Man's Chest pirates wote on the 7 seas walikuwa wanamuogopa Jones kwa ajili ya "pet" wake.
 
Kuanzia jack na wenzie wametekwa mpaka wanatoroka, wakati wa kuiba ufunguo, harakati za kisanduku chenye moyo mpaka jack anauficha kwenye mchanga ndo vitu vilivyonivutia zaidi kwenye DEAD MAN'S CHEST.
 
Kama uko Morogoro town na unazihitaji ni pm mkuu...ninazo 4..curse of the Black Pearl, dead man's chest, the world's end na strange tides.
 
Ammand the Corsair: Shoot him..
Gentleman Jocard: cut out his tongue
Sparrow: shoot him, cut out his tongue, then shoot his tongue.. And trim that beard
 


Hahaha asee Depp ni noma na funny. Mcheki hapa alivomuigiza Donald Trump
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…