Mkuu kuna wakati mwingine tunaeneza ujinga. Mtu akiwa na pesa tu ana behave kama mshamba wa miaka ya 60, pombe nyingi nyama kula kila kukicha na mayai ovyo.
So sad kuna watu wakiona mtu mnene wanasema ana afya, amenawiri lakini ukweli ni kuwa mtu anakimblia kifo.
pigo kwa lipi? kwa kuchakachua katiba ya wananchi?
pigo kwa lipi? kwa kuchakachua katiba ya wananchi?
Nijambo la kusikitisha sana kwetu wana 4u mvt kwa kupotelewa na Mtanzania mwenzetu pia Mh Mbunge Ndg Captain Komba.
Tumefedheheshwa sana sana na kauli ya Yerico kama inavyosomeka kwenye Fb yake, pia tumefadhaika mno na kitendo cha Mnyika kama mbunge kushindwa kutenganisha siasa na msiba na badala yake kuleta nukuu za maneno yanajenga utengano ktk kipindi hiki cha majonzi.
Tunaomba kwa heshima ya watwajwa hapo juu waangalie jinsi ya kuyarekebisha hayo.
Pia tunaomba tuungane na familia ya wafiwa kuwafariji katika kipindi hiki kugumu.
Mungu ailaze pema Roho ya marehemu. Amina
tumia akili wewe,hilo sio andiko la Mnyika,limeandikwa na rafiki wa Mnyika kwenye wall yake.mf.baadhi up.pu unaandikwa humu anaandikwa na Max?Nijambo la kusikitisha sana kwetu wana 4u mvt kwa kupotelewa na Mtanzania mwenzetu pia Mh Mbunge Ndg Captain Komba.
Tumefedheheshwa sana sana na kauli ya Yerico kama inavyosomeka kwenye Fb yake, pia tumefadhaika mno na kitendo cha Mnyika kama mbunge kushindwa kutenganisha siasa na msiba na badala yake kuleta nukuu za maneno yanajenga utengano ktk kipindi hiki cha majonzi.
Tunaomba kwa heshima ya watwajwa hapo juu waangalie jinsi ya kuyarekebisha hayo.
Pia tunaomba tuungane na familia ya wafiwa kuwafariji katika kipindi hiki kugumu.
Mungu ailaze pema Roho ya marehemu. Amina
Nijambo la kusikitisha sana kwetu wana 4u mvt kwa kupotelewa na Mtanzania mwenzetu pia Mh Mbunge Ndg Captain Komba.
Tumefedheheshwa sana sana na kauli ya Yerico kama inavyosomeka kwenye Fb yake, pia tumefadhaika mno na kitendo cha Mnyika kama mbunge kushindwa kutenganisha siasa na msiba na badala yake kuleta nukuu za maneno yanajenga utengano ktk kipindi hiki cha majonzi.
Tunaomba kwa heshima ya watwajwa hapo juu waangalie jinsi ya kuyarekebisha hayo.
Pia tunaomba tuungane na familia ya wafiwa kuwafariji katika kipindi hiki kugumu.
Mungu ailaze pema Roho ya marehemu. Amina
sijui kama hawa vijana wake kawaachia kitu mali zake zote zilikuwa kama dhamana ya mkopo! Hivyo ni bora wakaanza kujishughulisha kwani dhuluma inabaki hapa hapa duniani! Hii iwe ni fundisho kwa watawala wanaotapanya mali na urithi wa taifaNasikia jamaa alifikia hatua ya kutembea na masista(makasisi) wa kanisa katoliki ambao alipewa na parokia za Mbinga kama waalimu wenye weledi na taaluma ambao aliwaomba ili wafundishe kwenye shule yake ya Bakili Muluzi! Huyu Komba alijichumia laana!!
Pia kule Kimara kamjengea Lulu nyumba ambayo vijana wake wameapa kuirejesha hata ikibidi afe mtu!! Tutasikia mengi!!