TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Kwani Kikwete si dhaifu !.

Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.
 
Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.

Mnyika alichosema ni ukweli na wala halina utata.
Ila kumsema mwenzako kuwa et anakaribia kufa! ni kosa kubwa sn hilo hapa duniani.
Et nitaingia msituni,hahahaaaa mtu mwenyewe yule! hata wakituingiza msitu mmoja na mie bila silaha yoyote ile masaa mawili hayaishi watamkuta yupo hoi kama c kufa.LAANA
 
Mnyika alichosema ni ukweli na wala halina utata.
Ila kumsema mwenzako kuwa et anakaribia kufa! ni kosa kubwa sn hilo hapa duniani.
Et nitaingia msituni,hahahaaaa mtu mwenyewe yule! hata wakituingiza msitu mmoja na mie bila silaha yoyote ile masaa mawili hayaishi watamkuta yupo hoi kama c kufa.LAANA

Kwa kigezo cha umri hata vitabu vya dini vilitamka kuwa binadamu ataishi makumi 7.Warioba ana ngapi?
 
Yanasemwa mengi binafsi natakujua ukweli zaidi.

Wengine wanasema alizidi sana uzito wake Je! Kuna anayejua alifikia Kilogramu ngapi?
Je! Yamkini hio ni sababu tosha yakupatwa na kifo?

Lakini pia kuna wengine wanadiriki kuchokonoa mambo yake ya Kifedha kuwa ni MKOPO WA BILLIONI MOJA BANK YA CRDB,Baadhi ya watoa taarifa waliokuwa karibu naye wanasema alirejesha Millioni 400 na alibakiza milioni 600.

Inaonekana kulikuwa na shinikizo la kulipa madeni yote haraka kabla ya kuanza chaguzi za ndani CCM.

Mambo ya vimwana (Capt.Komba alikuwa sio duni kwa Warembo alipatikana kirahisi na kwa wakati huku akitoa MSHIKO MNONO) pia yametajwa kuwa ndio chanzo kingine cha kuwa na Madeni mengi na makubwa hata kusababisha MAUTI KUMFIKIA.

Wabongo kwa kuongea sio haba,wengine wanasema kule kujihusisha na kundi la LOWASA huenda imewafanya wakubwa wawatumie Bank zinazomdai zimfuatilie kupita maelezo.


Wanadiriki kuingia ndani zaidi na kusema huyu bwana kwa habari za mambo ya RASIMU YA KATIBA MPYA iliyowasilishwa na kusomwa Bungeni na Mzee wetu JAJI WARIOBA imemletea LAANA badala ya BARAKA hasa hapo CAPT KOMBA aliposimama na kutakamka maneno MAKALI,MAGUMU,MAZITO,MABAYA akimtusi JAJI SINDE WARIOBA.

Mzee mwenyewe amekaribia kufa usituvurugie Nchi la sivyo nitaingia msituni,maneno hayo yalitamkwa na MAREHEMU KOMBA.

Sote tumefichwa hatujui lini huyu na yule watakufa.Kifo chake komba huenda sio kulogwa bali ni MUNGU TU AMEMPENDA ZAIDI KULIKO SISI NA KUAMUA KUMWONYESHA MWENYE KUPANGA RATIBA Nani aondoke nani abakie.Mwenye uwezo huo ni MOLA PEKE YAKE.


Inatufundisha sote tusijisahau duniani sio mahali pa kudumu siku yaja tutaondoka kila mmoja na Majira yake,Tuitumie hii FURSA YA KUISHI VIZURI.


Nimebakia najiuliza maswali Mu-Kichwa NINI KIMEMUUA CAPT KOMBA kati ya haya yote yanayosemwa???

Sasa Mbona Yote Umeshayamaliza Mwenyewe Ktk Muntaza Wa Uzi Wako Je Unataka Sasa Sisi Tuseme Nini Tena? TUKUDANGANYE?
 
Wengine wanasema ni ugonjwa wa kisasa wa siku nyingi tu, mengine yote ni by the way!

Alisahau Kidonge ktk Mfuko Wa Shati Alilolivaa Jana Yake. Halafu Ukiwa Nao ( Wa Kisasa ) Na Ukiwa Na Masukari Na Mapresha Tiketi Yako Ya Kumuwahi Sir God Huwa Ipo Standby!
 
Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.

wewe naye chenga kweli,kumuita mtu dhaifu ni laana.linganisha maneno aliyosema komba kwa jaji waryoba na maneno aliyosema mnyika kwa kikitwn nani aliya mkebehi mwingine?
 
Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.

Wenye LAANA ya Warioba na Watanzania ni wengi akiwamo Ridhiwani ambaye Alisema kuna Wazee WANASUBIRI kufa wanataka katiba
 
Yanasemwa mengi binafsi natakujua ukweli zaidi.

Wengine wanasema alizidi sana uzito wake Je! Kuna anayejua alifikia Kilogramu ngapi?
Je! Yamkini hio ni sababu tosha yakupatwa na kifo?

Lakini pia kuna wengine wanadiriki kuchokonoa mambo yake ya Kifedha kuwa ni MKOPO WA BILLIONI MOJA BANK YA CRDB,Baadhi ya watoa taarifa waliokuwa karibu naye wanasema alirejesha Millioni 400 na alibakiza milioni 600.

Inaonekana kulikuwa na shinikizo la kulipa madeni yote haraka kabla ya kuanza chaguzi za ndani CCM.

Mambo ya vimwana (Capt.Komba alikuwa sio duni kwa Warembo alipatikana kirahisi na kwa wakati huku akitoa MSHIKO MNONO) pia yametajwa kuwa ndio chanzo kingine cha kuwa na Madeni mengi na makubwa hata kusababisha MAUTI KUMFIKIA.

Wabongo kwa kuongea sio haba,wengine wanasema kule kujihusisha na kundi la LOWASA huenda imewafanya wakubwa wawatumie Bank zinazomdai zimfuatilie kupita maelezo.


Wanadiriki kuingia ndani zaidi na kusema huyu bwana kwa habari za mambo ya RASIMU YA KATIBA MPYA iliyowasilishwa na kusomwa Bungeni na Mzee wetu JAJI WARIOBA imemletea LAANA badala ya BARAKA hasa hapo CAPT KOMBA aliposimama na kutakamka maneno MAKALI,MAGUMU,MAZITO,MABAYA akimtusi JAJI SINDE WARIOBA.

Mzee mwenyewe amekaribia kufa usituvurugie Nchi la sivyo nitaingia msituni,maneno hayo yalitamkwa na MAREHEMU KOMBA.

Sote tumefichwa hatujui lini huyu na yule watakufa.Kifo chake komba huenda sio kulogwa bali ni MUNGU TU AMEMPENDA ZAIDI KULIKO SISI NA KUAMUA KUMWONYESHA MWENYE KUPANGA RATIBA Nani aondoke nani abakie.Mwenye uwezo huo ni MOLA PEKE YAKE.


Inatufundisha sote tusijisahau duniani sio mahali pa kudumu siku yaja tutaondoka kila mmoja na Majira yake,Tuitumie hii FURSA YA KUISHI VIZURI.


Nimebakia najiuliza maswali Mu-Kichwa NINI KIMEMUUA CAPT KOMBA kati ya haya yote yanayosemwa???

Kwani alitegemewa kufa lini hata sasa watu wahangaike kutafuta kilichomwuam whatever reason itakuwanni kisababishi tu. Kwa kalenda ya Mungu muda wake wa kuishi hapo duniani ulikuwa ni huo. Biblia inasema siku za mtu za kuishi hapa duniani zimehesabiwa na Mungu mwenyewe na wala hakuna wa kuweza kuizuia siku yako ya kufa. Pressure, kisukari, majambazi etc ni visababishi. Jambo la maana ni kuhakikisha unakufa katika Bwana ili upumzike baada ya taabu nyingi vinginevyo unaweza kujikuta motoni milele na hakuna sala itakayokuondoa huko.
 
Back
Top Bottom