RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Hebu Acha mambo ya ajabu! Unafikiri hatupendi?!Kawaida ya magari ya million kumi kumi ndiyo shida zake hizo.
Njoo huku ndugu.
View attachment 1549918
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu Acha mambo ya ajabu! Unafikiri hatupendi?!Kawaida ya magari ya million kumi kumi ndiyo shida zake hizo.
Njoo huku ndugu.
View attachment 1549918
Nakukumbushia link ya hiyo site mkuuNa wafungaji wengi wa hizi alarms si professionals....ndiyo maana magari mengi ya watu yanawaka moto hovyo na kuteketea.
Kuna documentary moja nilikuwa naangalia namna ya ufungaji wa hizo security alarms, kwa kweli hapa bongo watu wengi wanaunga unga tu bora ilie.
Nikikumbuka jina la ile site nitashare link hapa..
Hadi leo wapo?Kwa Car Security nzuri wafuate Multi lock Tanzania wapo mkabala na Maktaba.Wana security alarm system za magari.
Hawa zamani walikuwa na lock ya kufunga kwenye gear level na milango hii mpaka mwizi aibe basi itambidi abebe gari kwa breakdown au winch.
Bado Wapo Mkuu, Ofisi Yao ipo Posta mkabala na jengo la Uhuru HeightHadi leo wapo?
Na gharama zao sh ngapi.?
Zitakuwa hizi za bei nafuu za Kariakoo. Maana hawazingatii ubora zinaingiliana frequency.Ni zile Alarm system ya kufungiwa ama ni ile ambayo imetoka kiwandani na gari?