CAR DIAGNOSIS AND CODE READING

CAR DIAGNOSIS AND CODE READING

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Tunatoa huduma ya Diagnosis ya Gari kwa bei ya kishkaji Tsh 20,000 tu.

Huduma itakua na moja au yote kati ya haya:

1. Read and Clear Check Engine Lights.
2. Read and Erase ABS & SRS trouble codes.
3. Reset Oil Light.
4. Reset Battery Maintenance Light & Initialization.
5. Stream, Record and graph real-time Live Data.

Pia tutakupatia report kamili ya gari yako (baada ya masaa 4 kwa e-mail au kuletewa hard copy) kama utahitaji, kwaajili ya reference na kupeleka kwa mechanic.

Gari sio lazima liwe linatembea ila liwe tu na uwezo wa kukwekwa Ignition ON na liwe na Port ya OBDII (nyingi zipo chini ya stering, ni female port pin 16).

Tupo Ubungo ila kukufuata tutaongea tuone kama ina maslahi.

Piga namba 0758095750
diagnosis.jpg
 
Huwa inapendeza zaidi anayefanya diagnosis akamalizia kazi ya ufundi.

Lakini all the best.
 
Back
Top Bottom