JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
-
- #21
Mkuu nauliza gearbox oil ya CVT K310 toyota corolla axio, ni ipi chief ? Shukrani kwa msaada
Honi yangu haiwaki kabisa leo siku ya 2 shida nini, NAOMBA FUNDI DODOMa
P0420
Hii code hiii
Hiyo ni Code ya Catalytic converter kwamba inafanya kazi chini ya kiwango.
Nini kinasababisha gari kujipiga resi yenyewe. Sometimes resi inakua kubwa kama vile mtu amekanyaga mafuta.View attachment 1942165
View attachment 1942173
Volvo XC70 ilikaa muda mrefu bila kuendeshwa hiyo nyaya zikaanza kukakakamaa.
Ghafla iligoma kuwaka na katika kupima ikaonekana Signal ya RPM inakosekana kwenye ECU. Kikawaida Crankshaft position sensor ndio inayofeed signal ya RPM kwenye ECU.
Kuja kucheki waya wa hiyo sensor umekata. Kuunga waya gari ikawaka.
It was my first experience kwa gari za VOLVO.
Karibu tukufanyie diagnosis na tukurekebishie matatizo ya gari lako. Hata kama tatizo umedumu nalo kwa muda mrefu. Gari yoyote ndogo kampuni yoyote.
Tupo Dar, Magomeni Mwembechai.
Tupigie 0621 221 606.
Nini kinasababisha gari kujipiga resi yenyewe. Sometimes resi inakua kubwa kama vile mtu amekanyaga mafuta.
Tatizo limeanza baada ya kubadili alternator.
bmw e90 320iGari aina gani? Throttle yake ni ya kawaida au electronic?
bmw e90 320i
Hii ni diagnosis ya kawaida.Nimefanya live data diagnosis, matokeo yameoneka kama inavyoonekana hapo...
Naweka mkazo kwenye P0725...View attachment 1978755
Kazi nzuri
Nissan mkuuHii ni diagnosis ya kawaida.
Live Data ilibidi tuone speed sensor inatoa signal gani?
Anyway hii ni gari gani?
Kwa baadhi ya gari ndogo mfano VOLVO code ya engine speed inahusiana na Crankshaft position sensor....
And katika gari nyingi mtu akisema engine speed basi ni Crankshaft position sensor.
Anyway, Hiyo ni gari gani?
Nissan mkuu
Nissan mkuu