Car diagnostic solutions

Car diagnostic solutions

Screenshot_2021-11-13-13-48-18-707_com.us.thinkdiag.plus.jpg



Toyota Allex yenye engine ya 1NZ-FE inaenda 6Km/L.

Haijawasha Check engine ila tulivopima imekuja P0100 na P0110. 90% hiyo P0100 inaweza kuwa sababu.

Japo zimetajwa sensor mbili hapo ila zote mbili zinakaa kwenye Housing moja.
 
Nissan Note mkuu
Basi mkuu, nilikuwa nina wasiwasi inafanana na mbili hivi niko nazo za xtrail qr20, jamaa alikuwa nazo mpya akanipa gari yangu(xtrail yd22) haziingiliani.
Nimeicheki haifanani, ila kwa mbaali inafanana na ya kwangu, ila yangu chini ina kibati..

Hii yako meno mangapi?
 
Basi mkuu, nilikuwa nina wasiwasi inafanana na mbili hivi niko nazo za xtrail qr20, jamaa alikuwa nazo mpya akanipa gari yangu(xtrail yd22) haziingiliani.
Nimeicheki haifanani, ila kwa mbaali inafanana na ya kwangu, ila yangu chini ina kibati..

Hii yako meno mangapi?
Hii yangu ina pini tatu mkuu...haiingiliani na xtrail...tulishaangalia ya xtrail
IMG_20211019_125207.jpg
 
View attachment 1833694

Hii nimeidiagnose week iliyopita. Ni Toyota IST ya mwaka 2002. Gari haikuwasha taa yoyote kwenye Dashboard ila ilikuwa na Dalili zifuatazo.

1. Kuwaka huku idle speed(sailensa) iko juu sana. Mshale unaweza kuwakia hata kwenye 3 au zaidi.

2. Kukosa nguvu.

3. Gari ilikuwa haivuki speed 80Km/h.

Tulipopima tu ikaja hiyo code P1656 - OCV circuit(Bank 1).

View attachment 1833697

OCV ni kufupisho cha Oil Control Valve, kwa majina mengine unaweza kuiita VVT solenoid (Haiitwi VVTi sensor kama watu wengi waljvyoibatiza.)

Straight forward hiyo code inamaanisha hiki kitu kimeharibika au nyaya zake zimekatika au kuna waya wake umegusa bodi. [emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1833696

So tulifungua hiyo solenoid, Tukaitest na ikaonekana haifanyi kazi tena. Pia sehemu yake ambayo ndio inaingia connector ya umeme palikuwa pameugwa na paliachia wakati bado tunaendelea kuhangaika nayo. Wire zilikuwa fresh hiyo ikawa inahitajika inunuliwe hiyo VVT solenoid nyingine.

So tulibadilisha ishu zote zikawa solved.

Mwenye hiyo gari ndio kwanza alikuwa ametoka kuinunua mkononi na hakuweza kujua kama taa ya check engine wameshaichezea.

Ingawa ilikuwa ukiweka Switch ON taa ya check engine inawaka lakini ukishawasha gari hata uchomoe sensor yoyote ile taa haiwaki. Hiyo hiyo taa walishaichezea na probably waliiungia kwenye taa ya Oil kama wengi wanavyofanya.

Anyway

Kama una tatizo na gari lako au unahitaji gari lako lifanyiwe Diagnosis au Check up kiujumla nicheck 0621 221 606. Nipo Dar Magomeni, Mwembechai.
Mkuu vipi mtu anaweza kukucheki ukaenda kukagua gari ikiwa kwa mfano nainunua kutoka mikononi mwa mtu kujua ikiwa ipo sawa au ina tatizo lolote JituMirabaMinne
 
Nissan Xtrail Toleo la kwanza (NT30). Ukiiwasha inawasha Check engine inawaka kama hivyo...


PXL_20220115_085441432.NIGHT.jpg



Report Baada ya kuipimia ikaonesha P0340 CMP sensor circuit Bank 1 pamoja na P1123, ECT motor Relay/ Circuit.
Tukaziclear zote mbili na tukatry kuendesha kipande kirefu tu Check engine haijawaka tena.

Baada ya kurudi tukasema tuichomoe CMP sensor tuiangalie. Tumekuta Connector imejaa Oil.

Yaani Oil inatoka ndani kwenye engine inapita kwenye sensor inajaaa kwenye connector.

Japokuwa ukiiangalia connector kwa nje imejaa vumbi na haina dalili ya Oil.

Tumeisafisha tumeirudishia kwa matazamio. Kama Oil itaendelea kulick kuja kwenye connector basi sensor itakuwa ni ya kubadili.

Screenshot_2022-01-15-11-53-55-656_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Camshaft position sensor location.

IMG_20220115_175543.jpg


Nissan QR20DE engine

PXL_20220115_085551560.NIGHT.jpg



Kama unahitaji Diagnosis na Repair ya gari lako. Tupigie 0621 221 606.
 
Mkuu JituMirabaMinne ,

Kwenye ajari Gari ikablast airbags zote mbili (ya kwenye steering na ya upande wa abiria). Airbags huwa zina replacement? ama zinarudishwa airbags zile zile zilizokuwepo?

If ni replaceable, je kuna vifaa vingine zaidi vya kureplace sambamba na hizo airbags?

Kuhusu mikanda je, nayo pia inakuwa replaced? mikanda imekuwa loose.
 
Mkuu JituMirabaMinne ,

Kwenye ajari Gari ikablast airbags zote mbili (ya kwenye steering na ya upande wa abiria). Airbags huwa zina replacement? ama zinarudishwa airbags zile zile zilizokuwepo?

If ni replaceable, je kuna vifaa vingine zaidi vya kureplace sambamba na hizo airbags?

Kuhusu mikanda je, nayo pia inakuwa replaced? mikanda imekuwa loose.

Kwa harakaharaka

1. Airbag zote mbili inabidi zije mpya

2. Seatbelt zote mbili zije zingine

3. Pretensioner za Seatbelt


Vipo na Vingine ila kwa uhakika ni mpaka kupima maana magari yanatofautiana. Kuna vitu kama Crash sensors n.k. nazo huwa sometimes za kununua, so inategemea na aina ya gari Boss.
 
Mkuu JituMirabaMinne ,

Kwenye ajari Gari ikablast airbags zote mbili (ya kwenye steering na ya upande wa abiria). Airbags huwa zina replacement? ama zinarudishwa airbags zile zile zilizokuwepo?

If ni replaceable, je kuna vifaa vingine zaidi vya kureplace sambamba na hizo airbags?

Kuhusu mikanda je, nayo pia inakuwa replaced? mikanda imekuwa loose.
Screenshot_2022-01-24-15-56-13-917_com.miui.gallery.jpg



Mfano hiyo ilikuwa Nissan Dualis niliipimaga mwezi wa 8, Jamaa alitaka ila tukanote ilipata ajali na jamaa wamezima Taa ya Airbag.

Hiyo screenshot ya diagnosis inaonesha baadhi tu ya vitu vya kubadili, ila vinaendelea hapo. Ndo maana nikasema uhakika zaidi hadi kupima.
 
Back
Top Bottom