jossiekaps
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 322
- 248
We are all in parade of death..its only time to decide nani anaanza and who is next uwe mkenya au mtz. #RIPmother+Daughter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo langu ni kuuliza kwamba hapa Mungu anashukuriwa kwa jambo gani?, wenye kustahili shukran ni hao walioiopoa hiyo gari.Endelea na roho mbaya
kdf hawahusiki..big up kenya navy and the whole crew
Siku 14 kuopoa kigari kimoja,je ikizama hiyo ferry hapo likoni?Hongera kwa wahusika wote, pia nimefarijika kuona ni kiasi gani serikali inaweza kwenda ili kuhakikisha hapotei Mkenya, maana kuna baadhi ya mataifa miili huachwa tu iliwe na samaki.
Hata hivyo kuna maswali mengi sana yanafaa yajibiwe, ilitokeaje tukafika huku,
Hapana,mamako wa kariakorNi babu yako wa kibera
You have proven your "Seniority" in stupidity Mr. Gunther1 👏😆Mamako ndiye aliyekuambia ivo?
Siku 14 kuopoa kigari kimoja,je ikizama hiyo ferry hapo likoni?
Toa akili ghasia hapa.
Hiki kizunguzungu umekijulia wapi Kaka? 😳 😂💩You have proven your "Seniority" in stupidity Mr. Gunther1 👏😆
ndo siku 13!!!?
Wamewakuta wazima?.hongera za nini watu wanamajonzi.Jiwe angewashusha vyeo hao waokoajiKwa kweli wamefanya juhudi kubwa sana kuweza kutoa hiyo gari toka kina cha mita 58