JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Naona Mancity wametukimbia,aahaaaaBaada ya NewcastleUnited kufanikiwa kuondosha ManchesterCity katika Raundi ya Tatu ya CarabaoCup, timu hiyo imepangwa kucheza ugenini kwenye Uwanja wa Old Trafford dhidi ya ManchesterUnited katika Raundi ya Nne
Michezo ya Raundi ya Nne inatarajiwa kuchezwa Oktoba 2023 katika tarehe zitakazopangwa, ratiba kamili ya hatua hiyo ni hii:
Mansfield v Port Vale
Chelsea v Blackburn Rovers
Exeter City v Middlesbrough
Ipswich Town v Fulham
ManUnited v Newcastle United
Bournemouth v Liverpool
West Ham v Arsenal
Everton v Burnley
Mwaka huu kipara na treble ni mbingu na nchi!Baada ya NewcastleUnited kufanikiwa kuondosha ManchesterCity katika Raundi ya Tatu ya CarabaoCup, timu hiyo imepangwa kucheza ugenini kwenye Uwanja wa Old Trafford dhidi ya ManchesterUnited katika Raundi ya Nne
Michezo ya Raundi ya Nne inatarajiwa kuchezwa Oktoba 2023 katika tarehe zitakazopangwa, ratiba kamili ya hatua hiyo ni hii:
Mansfield v Port Vale
Chelsea v Blackburn Rovers
Exeter City v Middlesbrough
Ipswich Town v Fulham
ManUnited v Newcastle United
Bournemouth v Liverpool
West Ham v Arsenal
Everton v Burnley
Mwaka huu kipara na treble ni mbingu na nchi!
Alipoteza pia ngao ya jamiiJidanganye tu.
Mechi ya jana ndo ya kwanza kapoteza
Sasa treble itatoka wapi?Jidanganye tu.
Mechi ya jana ndo ya kwanza kapoteza
Bado yupo kwenye uefa, fa na ligi kuuSasa treble itatoka wapi?
Wakubwa wawili hatunao hapoBaada ya NewcastleUnited kufanikiwa kuondosha ManchesterCity katika Raundi ya Tatu ya CarabaoCup, timu hiyo imepangwa kucheza ugenini kwenye Uwanja wa Old Trafford dhidi ya ManchesterUnited katika Raundi ya Nne
Michezo ya Raundi ya Nne inatarajiwa kuchezwa Oktoba 2023 katika tarehe zitakazopangwa, ratiba kamili ya hatua hiyo ni hii:
Mansfield v Port Vale
Chelsea v Blackburn Rovers
Exeter City v Middlesbrough
Ipswich Town v Fulham
ManUnited v Newcastle United
Bournemouth v Liverpool
West Ham v Arsenal
Everton v Burnley
Ana kazi sana aiseeBado yupo kwenye uefa,fa na ligi kuu
Mmh unayosema n yakwelMan U ajiangalie asijekufungashwa virago kama mwenzie
LveNaona Mancity wametukimbia,aahaaaa
Wakubwa wawili hatunao hapo
Wa kwanza Arsenal
Wa pili...