JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Baada ya NewcastleUnited kufanikiwa kuondosha ManchesterCity katika Raundi ya Tatu ya CarabaoCup, timu hiyo imepangwa kucheza ugenini kwenye Uwanja wa Old Trafford dhidi ya ManchesterUnited katika Raundi ya Nne
Michezo ya Raundi ya Nne inatarajiwa kuchezwa Oktoba 2023 katika tarehe zitakazopangwa, ratiba kamili ya hatua hiyo ni hii:
Mansfield v Port Vale
Chelsea v Blackburn Rovers
Exeter City v Middlesbrough
Ipswich Town v Fulham
ManUnited v Newcastle United
Bournemouth v Liverpool
West Ham v Arsenal
Everton v Burnley
Michezo ya Raundi ya Nne inatarajiwa kuchezwa Oktoba 2023 katika tarehe zitakazopangwa, ratiba kamili ya hatua hiyo ni hii:
Mansfield v Port Vale
Chelsea v Blackburn Rovers
Exeter City v Middlesbrough
Ipswich Town v Fulham
ManUnited v Newcastle United
Bournemouth v Liverpool
West Ham v Arsenal
Everton v Burnley