Carabao Cup final

Carabao Cup final

CalvinPower

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
1,634
Reaction score
1,001
Japo Carabao Cup haifuatiliwi sana ila inaumuhimu wake, Ni hapo Wembley.

GettyImages-887104186.jpg


Kikombe pekee ambacho arsenal wanauwezo wa kukichukua kwa sasa ni hichi tu, maana kwenye FA wametolewa, kwenye uefa hawapo, Epl ndo matumaini hakuna kabisa. swali ni je wataweza kukabiliana na miamba wenzao Manchester City ? Hapo Tarehe 25 Feb 2018.

carabao cup.png


3610.jpg
Baada ya Arsenal kuwafunga Chelsea wamejipatia nafasi ya kuingia fainali kwenye kikombe cha EFL ( carabao cup ) na hivyo watakutana na Miamba wenzao Manchester City.

nintchdbpict000380309001.jpg
 
Back
Top Bottom