Career au Mapenzi ama vyote kwa pamoja?

Career au Mapenzi ama vyote kwa pamoja?

Gautten Potten

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
1,642
Reaction score
3,426
Kwa mara ya kwanza Getafe wameuza jezi nyingi zenye jina la Mason Greenwood mgongoni ndani ya wiki moja kuliko walizouza kwa mchezaji yeyote katika historia ya klabu hiyo.

Mkopo wa Greenwood huko Getafe umepokelewa kifalme kuanzia kwa wachezaji wa Getafe, mashabiki na wafanyikazi kwa ujumla.

Kipindi Greenwood akisota bibie alikua nje akizurura na wenzie na kushauriana na wanawake sugu katika ndoa.

Ukumbusho
Kwamba yeye ndiye yule yule aliyemshtaki Greenwood kuwa alimbaka, akamburuta hadi mahakamani, akaharibu kazi yake pale Manchester united, akatangaza ujauzito, akaja kuondoa kesi, mahakama ikamwachilia Greenwood na sasa wana mtoto pamoja.

FB_IMG_16952937988569558.jpg


Wote wawili wameanza mwanzo mpya huko Spain. Je, una roho ya kusamehe mtu aliyejaribu kuharibu mazima mustakabali wa maisha yako na kuanza naye upya. ?

Wanawake wa Siku hizi wamekaa kidalali dalali. Nafkiri Bado anamtegea ili ambamize kisawasawa.
 
Kwa mara ya kwanza Getafe wameuza jezi nyingi zenye jina la Mason Greenwood mgongoni ndani ya wiki moja kuliko walizouza kwa mchezaji yeyote katika historia ya klabu hiyo.

Mkopo wa Greenwood huko Getafe umepokelewa kifalme kuanzia kwa wachezaji wa Getafe, mashabiki na wafanyikazi kwa ujumla.

Kipindi Greenwood akisota bibie alikua nje akizurura na wenzie na kushauriana na wanawake sugu katika ndoa.

Ukumbusho
Kwamba yeye ndiye yule yule aliyemshtaki Greenwood kuwa alimbaka, akamburuta hadi mahakamani, akaharibu kazi yake pale Manchester united, akatangaza ujauzito, akaja kuondoa kesi, mahakama ikamwachilia Greenwood na sasa wana mtoto pamoja.

View attachment 2757032

Wote wawili wameanza mwanzo mpya huko Spain.
Je, una roho ya kusamehe mtu aliyejaribu kuharibu mazima mustakabali wa maisha yako na kuanza naye upya. ?

Wanawake was Siku hizi wamekaa kidalali dalali.
Nafkiri Bado anamtegea ili ambamize kisawasawa.
moja ya sharti la kuondoa kesi mahakamani ilikua lazima waendelee kuwa pamoja ikiwemo kulea hio mimba (mtoto)......
kwaio usifikiri jamaa kasamehe tu bila sababu, nadhani ilikua namna nyingine ya plea bargain[emoji23]
 
Haha ngozi nyeusi kukusamehe ni ngumu sana, mnaishi ila moyoni ana kitu kinamsumbua, inawezekana kuwa kutokuachana na mwanamke wake ni makubaliano ya pande zote mbili Ili tu kesi isimfie kijana na kuendelea na maisha yake ya mpira, hapa kuishi ni Kwa mitego zaidi, naona kabisa miaka ya baadae uhusiano wao usiwe poa aidha kuachana...subiri dogo apate jina kubwa kwanza.
 
Kwa mara ya kwanza Getafe wameuza jezi nyingi zenye jina la Mason Greenwood mgongoni ndani ya wiki moja kuliko walizouza kwa mchezaji yeyote katika historia ya klabu hiyo.

Mkopo wa Greenwood huko Getafe umepokelewa kifalme kuanzia kwa wachezaji wa Getafe, mashabiki na wafanyikazi kwa ujumla.

Kipindi Greenwood akisota bibie alikua nje akizurura na wenzie na kushauriana na wanawake sugu katika ndoa.

Ukumbusho
Kwamba yeye ndiye yule yule aliyemshtaki Greenwood kuwa alimbaka, akamburuta hadi mahakamani, akaharibu kazi yake pale Manchester united, akatangaza ujauzito, akaja kuondoa kesi, mahakama ikamwachilia Greenwood na sasa wana mtoto pamoja.

View attachment 2757032

Wote wawili wameanza mwanzo mpya huko Spain.
Je, una roho ya kusamehe mtu aliyejaribu kuharibu mazima mustakabali wa maisha yako na kuanza naye upya. ?

Wanawake was Siku hizi wamekaa kidalali dalali.
Nafkiri Bado anamtegea ili ambamize kisawasawa.
Hata miye nahisi hivyo
 
Kwa mara ya kwanza Getafe wameuza jezi nyingi zenye jina la Mason Greenwood mgongoni ndani ya wiki moja kuliko walizouza kwa mchezaji yeyote katika historia ya klabu hiyo.

Mkopo wa Greenwood huko Getafe umepokelewa kifalme kuanzia kwa wachezaji wa Getafe, mashabiki na wafanyikazi kwa ujumla.

Kipindi Greenwood akisota bibie alikua nje akizurura na wenzie na kushauriana na wanawake sugu katika ndoa.

Ukumbusho
Kwamba yeye ndiye yule yule aliyemshtaki Greenwood kuwa alimbaka, akamburuta hadi mahakamani, akaharibu kazi yake pale Manchester united, akatangaza ujauzito, akaja kuondoa kesi, mahakama ikamwachilia Greenwood na sasa wana mtoto pamoja.

View attachment 2757032

Wote wawili wameanza mwanzo mpya huko Spain.
Je, una roho ya kusamehe mtu aliyejaribu kuharibu mazima mustakabali wa maisha yako na kuanza naye upya. ?

Wanawake was Siku hizi wamekaa kidalali dalali.
Nafkiri Bado anamtegea ili ambamize kisawasawa.
Alimtia mimba ni demu mwingine ambae alianzisha mahusiano nae baada ya kuachana na yule wa mwanzo alimsababishia dogo kesi. Na nafikri tayari ashajifungua uyo demu.
 
moja ya sharti la kuondoa kesi mahakamani ilikua lazima waendelee kuwa pamoja ikiwemo kulea hio mimba (mtoto)......
kwaio usifikiri jamaa kasamehe tu bila sababu, nadhani ilikua namna nyingine ya plea bargain[emoji23]
Yule demu alitaka umaarufu na pesa tu kama ni kweli alipigwa si ajabu alim-provoke dogo makusudi tu target yake ikiwa maokoto. Hawajarudiana ila watakua wamemalizana nje ya mahakama. Kwa sasa dogo yupo na demu mwingine ndio uyo mwenye mimba yake na nafikiri ashajifungua
 
moja ya sharti la kuondoa kesi mahakamani ilikua lazima waendelee kuwa pamoja ikiwemo kulea hio mimba (mtoto)......
kwaio usifikiri jamaa kasamehe tu bila sababu, nadhani ilikua namna nyingine ya plea bargain[emoji23]
Kwamba angekataa pre bargaining ingekuwa uhujumu uchumi
 
Kwa mara ya kwanza Getafe wameuza jezi nyingi zenye jina la Mason Greenwood mgongoni ndani ya wiki moja kuliko walizouza kwa mchezaji yeyote katika historia ya klabu hiyo.

Mkopo wa Greenwood huko Getafe umepokelewa kifalme kuanzia kwa wachezaji wa Getafe, mashabiki na wafanyikazi kwa ujumla.

Kipindi Greenwood akisota bibie alikua nje akizurura na wenzie na kushauriana na wanawake sugu katika ndoa.

Ukumbusho
Kwamba yeye ndiye yule yule aliyemshtaki Greenwood kuwa alimbaka, akamburuta hadi mahakamani, akaharibu kazi yake pale Manchester united, akatangaza ujauzito, akaja kuondoa kesi, mahakama ikamwachilia Greenwood na sasa wana mtoto pamoja.

View attachment 2757032

Wote wawili wameanza mwanzo mpya huko Spain.
Je, una roho ya kusamehe mtu aliyejaribu kuharibu mazima mustakabali wa maisha yako na kuanza naye upya. ?

Wanawake was Siku hizi wamekaa kidalali dalali.
Nafkiri Bado anamtegea ili ambamize kisawasawa.
Ingekua mm huyu mwanamke hata harufu yake ingekua sumu kwenye mishe zangu. Yaani ingekua sina habari nae tena yaani kwishnei mazima
 
Back
Top Bottom