Carhinho ni moto wa kuotea mbali

Carhinho ni moto wa kuotea mbali

Dakika chache tu nilizomtazama kwenye hii game ya yanga Vs Mbeya city leo naishia kusema huyu mwamba Yanga wamelamba dume ukitoa usharobaro wake lakini yuko vizuri aswaa,

Kila pasi inafika kwa muhusika na kila krosi anayopiga lazima iwe ya hatari.


Kona kali kabisa iliyopigwa kutoka kwake ndio kona pekee iliyopelekea ushindi kwa yanga,

Kongole kwake CARHINHO Sharobaro wa Yanga SC

Long live Young African, long live all fans wa young African
Yanga mmemisi vitu vya kushangilia. Mnashangilia mpiga kona kweli?
 
kwa hiyo huko mkoani yanga watacheza pungufu, ? we ndio mbumbumbu kweli
huna sababu ya kuanza kutoa dhihaka. Kwa hali ya viwanja vyetu. Mara nyingi tunatarajia mpira mzuri na matokeo ya bila mashaka team ikiwa hapa mjini.
 
roho iniume kwa huyo mwizi wa magari, kila mechi anatolewa hata kocha wa simba amemchoka hilo garasa, utamfananisha na carlinho?
Hivi mtu akitoka hajui? Ushamba unatutafuna wabongo.......
Morrison ameishi akigombanisha vilabu vikihitaji huduma yake....
Uje umfananishe na huyo carinhos.....ambaye maisha yake ameishi akitolewa mikopo.
 
Back
Top Bottom