sostenes mbwelwa
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 289
- 139
huyo haulizi gari ana hela ya bodaboda wapi nawapi mark x na TI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unauliza swali ambalo majibu unayo...Niaje Wakuu
Hizi Gari kwakwel nazipenda Vibaya sana sasa nataka kujua ipi Bora kati hizi nikilenga kwenye sector nyet kama Fuel Consuption Gharama za Vipuri na Ugumu wa Gari
Nawasilisha.
kumbe we shida ya mark 10sawa kaka Nimekusoma mzee ila nauliza Mark X hakuna yenye 2000CC ni hilo tu kaka
Tujue unawezaje kumudu gari moja wapo..ili ugundue nin sasa