Carlo Ancelloti atimuliwa Real Madrid

Presha za kipumbavu
ndo maana Morinho alishindwa
na yule kocha wa taifa wa Portugal pia alishindwa kabisa
na wote walitimuliwa huku wanatukanwa
Moja, Fernando Santos hajawahi kufundisha Madrid Boss, ama sijui ni coach gani wa Portugal unayemzungumzia. I assume ni Queiroz.

Pili, nani aliwatukana? Unaweza kutaja kiongozi au Club figure yoyote aliyeongea chochote kibaya against Mou, au coach yoyote aliyewahi kutimuliwa. Na usitaje mashabiki tafadhali, club haiwezi control hisia zao.
 

Yes Quireoz

Real Madrid: 'Queiroz was a mistake' - ESPN FC
 
Kinachoongolewa hapa ni nn?

Ancellot katmuliwa kwa sababu gan au nadrid haina subra kwa makocha wake? Nieleweshen nitiririke
 

“His agent, told me, ‘President, when you meet Mourinho, you are not going to accept any other alternative. He’s the best’.

“I preferred not to meet him because my idea of the coach for Real Madrid was not Mourinho.

“I thought, ‘This is going to be a problem here’ –as it has been, unfortunately.”

He added: “He’s the coach with the worst track record at Real Madrid after three years. No coach at Real Madrid has won fewer titles.”

Calderon ni muhuni, ila sioni tusi wala kejeli zaidi ya facts bro.
 
mkuu usiwe mkimbizi
 
Mbona unapenda kunichafua kiasi hiki,hivi unajua kwann nilikujibu swala la Arsenal?

mkuu hzo nilishazjibu.mda kabla hujakiri.kuwa wewe acmilan sasa ucpanic mkuu hata hvyo si bora arseno kuliko milan
 
Aliyataka mwenyewe kwa kudraw na Valencia, Kufungwa na Athletic
 
Aliyataka mwenyewe kwa kudraw na Valencia, Kufungwa na Athletic

Huyo Valensia inaonekana alimshindwa sababu mechi ya kwanza alifungwa ya pili kadraw huyo atletiko ndo tusimzungumze kabsa
 
Huyo Valensia inaonekana alimshindwa sababu mechi ya kwanza alifungwa ya pili kadraw huyo atletiko ndo tusimzungumze kabsa

Atletico ni Mourinho pekee alimweza.
Anceloti historia yake ya kufanya vibaya msimu wa pili ni kubwa kumbuka hata Chelsea walimtimua sababu alishindwa beba kombe mara ya pili
 

Mkuu najua wewe ni "Die hard fan" lakini hilo lisikufanye ukazipuuza sababu za kibiashara, coz Perez hatoi fedha mfukoni kuendesha timu. Hebu kumbuka hicho kipindi cha miaka 10 ya kufanya vibaya Madrid walikuwa klabu ya pili kwa utajiri baada ya Man U
 

sielewi data zako unatolea wapi mkuu, mourinho alikuwa failure na ni mmojawapo wa makocha waliofeli pale bernabeu ndo maana mkataba wake ukasitishwa
 
Halafu dogo Sterling anazidi kuwaumiza vichwa kiwango chenyewe cha kawaida
Nishapoleka mie Mkuu.. Ninashangaa West Ham wanamtaka Carlo Ancelloti sie tumekaa tu na zoba wetu.. Haki ya nani wataniua mie na presha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…