Carlo Ancelloti atimuliwa Real Madrid

sielewi data zako unatolea wapi mkuu, mourinho alikuwa failure na ni mmojawapo wa makocha waliofeli pale bernabeu ndo maana mkataba wake ukasitishwa

Makocha huwa wanakaa misimu 3 kwenye utawala wa Perez,haijalishi umechukua makombe au la.Mchawi wa Real Madrid kwa sasa ni Perez,ngoja tuone Benitez atakaa misimu mingapi
 
Halafu dogo Sterling anazidi kuwaumiza vichwa kiwango chenyewe cha kawaida

Hamna kitu kinachonikera Mkuu kama kitendo cha Liverpool kuyumbishwa na dogo Sterling.. Kama ulivyosema dogo yule kiwango chake ni cha kawaida sana.. Nadhani hata Jordan Ibe ni mzuri kuliko Steriing.. Wamuachie aende huko anakatoka kwenda.. Kinachotakiwa pale aletwe kocha mwenye kiwango kikubwa ambae atakuwa na uwezo wa kushawishi na kusajili wachezaji wenye kiwango cha kimataifa..

Liverpool ni timu kubwa sana..
 
Makocha huwa wanakaa misimu 3 kwenye utawala wa Perez,haijalishi umechukua makombe au la.Mchawi wa Real Madrid kwa sasa ni Perez,ngoja tuone Benitez atakaa misimu mingapi

Ni philosophy ya mdrid , binafsi siipendi... hii philosophy wange adopt timu kama chelsea na man city ambazo ni up coming. timu yeye historia kama madrid, man u, juve, milan, munich, barca n,k me naona lazima ziwe na msingi mzuri na waweze kuvumilia.. barca kwa mfano wamekuwa wazuri sana na makocha wao hawatoki mbali na hii ndo maana ya football na injaleta ladha flan ya mpira. Ila kwa upande mwingine competition inalazimisha watafte mchawi nani na kama unavojua huwez kufukuza kikosi kizima, simply unaamua kufukuza kcha sababu its cheap and easy.
 

Na wao wanakuwa kama Simba na Yanga, Ancelot kwangu mimi naona bado ni kocha mzuri na alipaswa kuendelea kukinoa hiki kikosi.
 
Makocha huwa wanakaa misimu 3 kwenye utawala wa Perez,haijalishi umechukua makombe au la.Mchawi wa Real Madrid kwa sasa ni Perez,ngoja tuone Benitez atakaa misimu mingapi
Huu ni upotoshaji brother, hebu tutajie Coach yoyote aliyefukuzwa na Perez baada ya kubeba kombe lolote.

Na pili utuambie kama ni Perez aliyewafukuza Jupp Heynckes na Capello.
 
Since 2000, Atlético have
had 16 coaches, Valencia 15, Inter and Roma 14,
Porto 13, Chelsea and Benfica 12, Juventus 11
and Barcelona 10. Arsenal are the only
heavyweight not to experience a single
managerial change in this millennium, with
Arsène Wenger retained through thick and thin.
Manchester United, formerly a paragon of
stability under Sir Alex Ferguson, have seen four
men in the dugout in the last two years - the
same number as Real Madrid.

Ila ni Real Madrid ndio inaonekana tu, smh!
 
Arsenal have a big problem of not having best achievement in a lifetime!
 
Huu ni upotoshaji brother, hebu tutajie Coach yoyote aliyefukuzwa na Perez baada ya kubeba kombe lolote.

Na pili utuambie kama ni Perez aliyewafukuza Jupp Heynckes na Capello.

Carlo Anceloti,Vicente Del Bosque hawa ndio makocha wa mwisho kuwapa Real Madrid ubingwa wa Champions Perez akawatimua
 
Tatizo kubwa la Carlo Anceloti,lilikuwa kutofanya rotation ya wachezaji,pia ameshindwa kuwa-manage wachezaji wakubwa.Pia walishindwa kabisa kuziba pengo la Alonso
 
Carlo Anceloti,Vicente Del Bosque hawa ndio makocha wa mwisho kuwapa Real Madrid ubingwa wa Champions Perez akawatimua
Nadhani kila mtu anafahamu hilo brother, nilichokuwa naomba ni uniambie(kutokana na maelezo yako ya mwanzo) ni coach yoyote aliyeshinda tají lolote ndani ya msimu na bado akatimuliwa, chini ya uongozi wa Perez.
 
Nadhani kila mtu anafahamu hilo brother, nilichokuwa naomba ni uniambie(kutokana na maelezo yako ya mwanzo) ni coach yoyote aliyeshinda tají lolote ndani ya msimu na bado akatimuliwa, chini ya uongozi wa Perez.

Nimesema kwenye utawala wa Perez makocha kufundisha ni mwisho misimu 3,haijalishi umechukua ubingwa au la
 
Nimesema kwenye utawala wa Perez makocha kufundisha ni mwisho misimu 3,haijalishi umechukua ubingwa au la
Ok brother, labda ni lugha ndio hatuelewani hapa. Labda nijaribu hivi, ni utaratibu wa Real Madrid na sio Perez, kwa Coaches kushinda tají kila msimu ili kuwa na chances za kubaki. Ndio maana nataka ututajie nani alishinda tají gani katika msimu aliofukuzwa, chini ya utawala wa Perez.

Name any Coach who won any title but still got fired in that very season, during Perez era.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…