Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
sielewi data zako unatolea wapi mkuu, mourinho alikuwa failure na ni mmojawapo wa makocha waliofeli pale bernabeu ndo maana mkataba wake ukasitishwa
Makocha huwa wanakaa misimu 3 kwenye utawala wa Perez,haijalishi umechukua makombe au la.Mchawi wa Real Madrid kwa sasa ni Perez,ngoja tuone Benitez atakaa misimu mingapi