Carmatec/ nyumbu

payuka

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
829
Reaction score
127
Heshima zenu wakuu!

Mwenye kujua ziliko ofisi za Carmatec/ au nyumbu kwa hapa Dar es Salaam. Hawa jamaa nasikia wanauza mashine za aina mbalimbali kwa bei poa kabisa.

Mwenye details tafadhali, Nimejaribu Ku-search kwa kutumia google bila mafanikio.

natanguliza shukrani"!
 
Mkuu sidhani kama Carmatec wana ofisi Dar maana hata ikifika wakati wa maonyesho kama ya sabasaba huwa wanahangaika sana kuleta vitu vyao. Ofisi zao ziko Arusha na sina habari za hivi karibuni kuwa wamehamia wapi maana eneo lao limechukuliwa na Mandela Institute of Technology. Nyumbu wako Kibaha na wana website gonga HAPA huko utapata maelezo na contacts zao. Contacts za Carmatec hizi hapa chini.

The Director General, CAMARTEC, P. O. Box 764, Arusha, Tanzania.
Tel: +255272573222 OR +255 27 2553214
Email: carmatec@hotmail.com
 

Nakushukuru sana Mkuu kwa msaada wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…