payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Heshima zenu wakuu!
Mwenye kujua ziliko ofisi za Carmatec/ au nyumbu kwa hapa Dar es Salaam. Hawa jamaa nasikia wanauza mashine za aina mbalimbali kwa bei poa kabisa.
Mwenye details tafadhali, Nimejaribu Ku-search kwa kutumia google bila mafanikio.
natanguliza shukrani"!
Mwenye kujua ziliko ofisi za Carmatec/ au nyumbu kwa hapa Dar es Salaam. Hawa jamaa nasikia wanauza mashine za aina mbalimbali kwa bei poa kabisa.
Mwenye details tafadhali, Nimejaribu Ku-search kwa kutumia google bila mafanikio.
natanguliza shukrani"!