CarolNdosi
Member
- Jul 16, 2015
- 45
- 505
- Thread starter
-
- #21
Hongera sana lakini nakushauri usiuze hili tamasha maana wenzio watapiga pesa...Naamini penye ugumu ndio kuna njia ya kutokea....
Halafu pengine hili tamasha unatakiwa uliweke kwenye Calender,liwe la kipindi fulani tuu na baada ya hapo una pumzika mpaka mwakani pengine unaweza ukalifanya la mwenzi mzima likazunguka nchi nzima....yaani kwa mwaka linakuwa ni mara moja tuu hii inaweza ikasaidia kupata hata wadhamini.
Kwangu mimi naona ukiendelea kukaza buti ipo siku litakuwa kubwa zaidi ya ufikiriavyo au zaidi ya sasa........
Yes that is the plan, tukirudi mwezi 6 ndio utaratibu tulioweka. Na tulishaanza kupunguza tangu mwaka jana. Naendelea kukaza buti kaka nashukuru kwa mawazo yako