"Cartels" zimepata hofu, zinaona mchezo unakaribia kufikia mwisho

"Cartels" zimepata hofu, zinaona mchezo unakaribia kufikia mwisho

Billal Saadat

Senior Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
169
Reaction score
358
Kinachopigiwa kelele si mkataba maana kuna mikataba ya utekelezaji bado inakuja, kinachowaumiza kiundani ni mnyororo wa thamani pale bandarini vingi watapoteza watu wana makampuni yana secret tenda na TICTS.

Ipo kampuni zimekodisha Trekta, ipo kampuni imekodisha forklift hizi kampuni zilikuwepo kwa mgongo wa TICTS kwa zaidi ya miaka 22 hazipo tayari kuacha hili dili kiwepesi. Wenye hisa ni wanasiasa wetu waliomstari wa mbele kupinga.

Hawa wafanyabiashara hawawezi kuacha hizi nafasi kizembe mkataba wao uliisha toka September 30, 2022 wanaharakati walikaa kimya hawakupongeza. Wakaomba extension ya majadiliano kwa miezi mitatu. Wanaharakati wapo tu kimya sababu wanachakugua kile kinachowafurahisha tu.
 
Naona ustadh Billal Saadat upo hapa kuwatetea waarabu wa UAE, ndugu zenu katika imani. Aliyesema Mwafrika aliwahi kupata uhuru hakukosea kabisa. Kama akili zenyewe ndizo hizi, Waingereza walitakiwa wawe wanawapa uhuru mwaka 2040, baada ya kuwatandika bakora za kutosha mpaka akili zikae vizuri.

Mtikilia aliwahi kuuita huu ugonjwa "APEDOMIA" kwamba mtu anakubali kuuza utu na utaifa wake kwa wageni kwasababu ya tende na halua. Nilihisi ametunga, lakini kadiri siku zinaenda nathibitisha kwamba watanganyika wana shida kubwa pahala.

 
Samia ametumia mahaba yake binfsi kuwazia bandari ndugu wa kiarabu

Tanganyika haiuzwi mwambieni samia

Tanganyika ni ya watanganyika kama yeye anajiona sio mtanganyika aneweza kuwapisha wazalendo

Sio kuuza nchi
 
Samia ametumia mahaba yake binfsi kuwazia bandari ndugu wa kiarabu

Tanganyika haiuzwi mwambieni samia

Tanganyika ni ya watanganyika kama yeye anajiona sio mtanganyika aneweza kuwapisha wazalendo

Sio kuuza nchi
Kuna sehemu gani inayosema nchi imeuzwa au ndio bendera fata bwana?
 
Unafikiri nchi kuuzwa mpaka uone mnada unafanyika? Kukabidhi tu maeneo muhimu kwa wageni ndio kuuzwa kwenyewe
Nenda mitaani hapa hapa Bongo ukaone mikataba umiza inayo fanywa na wake za watu kukopa bila mume kushirikishwa inavyo leta tabu

Hivyo wananchi wakawaida hili la Bandari lazima limewaingia kichwani!!!
 
Naona ustadh Billal Saadat upo hapa kuwatetea waarabu wa UAE, ndugu zenu katika imani. Aliyesema Mwafrika aliwahi kupata uhuru hakukosea kabisa. Kama akili zenyewe ndizo hizi, Waingereza walitakiwa wawe wanawapa uhuru mwaka 2040, baada ya kuwatandika bakora za kutosha mpaka akili zikae vizuri.

Mtikilia aliwahi kuuita huu ugonjwa "APEDOMIA" kwamba mtu anakubali kuuza utu na utaifa wake kwa wageni kwasababu ya tende na halua. Nilihisi ametunga, lakini kadiri siku zinaenda nathibitisha kwamba watanganyika wana shida kubwa pahala.

View attachment 2663221

Nyie mnaojadili hoja kwa majina ndiyo wakuogopwa kama ukoma.
 
Nyie mnaojadili hoja kwa majina ndiyo wakuogopwa kama ukoma.
Sasa unataka nisijadili jina wakati Bilal alikuwa ni mfuasi mtiifu (A Trusted Companion) wa mtume. Ningekuwa nasema wongo labda, lakini haya niyasemayo ni ukweli. Baadhi ya watanganyika wenzetu kutoka dini ya kiislamu mmekubali kuuza uhuru wenu kwa waarabu kwasababu za kidini. This is totally wrong considering a fact that Tanganyika is a homogeneous society where both muslims and christians lived together cordially.

Nafahamu utakataa hapa, lakini watanganyika mnapenda sana dini kuliko kitu kingine chochote. Ukabila siyo sana, ila dini imewapumbaza kiasi kwamba mmekuwa wapumbavu kabisa.
 
Exclusivity ndio itaondoa Cartels ?

For Better or Worse ?, Dawa ya Kuondoa Cartels ni kuhakikisha kwamba mikataba inafuatwa na wanaopata tender kinyemela hawapati au dawa ni kumpa uongozi mwingine ?

Kama umeshindwa kuhakikisha hizi cartels haziibi utaweza kuhakikisha mtu mwenye share zaidi yako anafuata kila mlichopatana ?
 
Back
Top Bottom