Pamoja na umahiri wa kipanya, anasifiwa sana kwa kuuelekeza umma kwenye issue/jambo la msingi tusipoteze focus.
Kila mara hutukumbusha mahali mpira ulipo, kwamba refa kapuliza kipenga, kipa kajiangusha, mwanamke aliye uchi kakatiza uwanja au ni half-time - jamaa anasema boli liko hukuuuuuuuuuuuuu!
.