Huyu tumbotumbo kilo mia nane ni mzigo tu hapo UtopoloSubiri Morison acheze na kufunga kesho yake Mwakalebela atatoa update kupitia press release
Kwa sasa huwezi kumuona tena morisson akicheza,na hata sudan hajaenda kapigwa pini na cafWadau salam,
Naomba wajuvi watujulishe kwa maendeleo ya kesi ya Morrison na Yanga huko CAS yakoje kwani ilielezwa march hii itatoka ratiba ya vikao na jaji alishateuliwa huo ni upande wa Yanga na mara zote hatujaweza kuona lolote kwenye rataba ya CAS naomba mwenye taarifa baada ya kuingia kwenye website yao au mtuwekee hapa na hiyo web na ushahid ikipendeza. Nawasilisha wahenga
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kwa sasa huwezi kumuona tena morisson akicheza,na hata sudan hajaenda kapigwa pini na caf
Alisikika kubwa jinga moja hivi toka Utopolo