OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Alinganishwe na nani?Ungetuwekea stats zao hapa mkuu ili tuone nani zaidi kuliko kuleta maneno matupu
Weka stats tuwalinganishe
yule kocha mpya wa golikipa Simba atakuwa ameongeza kituBinafsi miaka miwili iliyopita nilikuwa simkubali Aishi Manula kutokana na mapungufu yake ktk kulilinda lango...
Ulaya ipi kwa kimo kile, sema azidishe mazoezi ili hata apate timu hapo Afrika Kusini.Umesahau na mechi ya equtorial guinea mpaka yule mfungaji alipiga teke nguzo ya goli kutokana na save za Manula angekuwa na meneja wa maana sasa hivi angekuwa anamtafutia timu ulaya
Tanzania One hutoka Simba mara nyingi (kama sio mara Zote), hili lilishaandikwa hivyo.Itoshe kusema kwamba ndani ya misimu hii mitano huyu ndio golikipa bora kwa Tanzania. Kumlinganisha na golie wengine ni kumkosea heshima tu. Tusisubiri mpaka Rais Samia amtolee tamko. Hii kesi tunaifunga na faili tunalitupa makumbusho.
Tunafungua faili jipya tunasema Aishi Manula anatosha kuwa goli kipa namba moja Afrika. Onyango wa Mamelod anasubiri. Sote tumeona save za hatari alizofanya Congo na ile game ya Al Ahl. Leo mechi ya Libya ametufunga midomo kabisa.
Bishoo AirManula hongera sana
Othman mambosasaTanzania One hutoka Simba mara nyingi (kama sio mara Zote), hili lilishaandikwa hivyo.
Kima wa Utopolo hawapendi kabisa habari hiziTanzania One hutoka Simba mara nyingi (kama sio mara Zote), hili lilishaandikwa hivyo.
Wewe nawe ukiwaga kwenye joto huwazi vizuriSio huyu aliyetunguliwa kizembe na Prison akataka kubondwa na mashabiki,sio huyu anayetunguliwa mita 40, lile ni pazia
Acheni ulimbukeni Africa kusini kuna team moja tu ambayo ni Mamelod nyingine zinazidiwa mafanikio na Simba kwenye Mpira wa Africa .Ungesema Egypty ,Tunisia na MoroccoUlaya ipi kwa kimo kile, sema azidishe mazoezi ili hata apate timu hapo Afrika Kusini.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Acha wenge soma ukiwa umetuliza msambwanda vizuri, mwenyewe umekiri Afrika kusini kuna timu imeizidi Simba ndio aende huko sasa, hapo nilisema .. hata apate timu Africa Kusini, nikiimanisha anaweza kwenda pengine palipo na mafanikio zaidi ya Bongo.Acheni ulimbukeni Africa kusini Luna team moja tu ambayo ni Mamelod nyingine zinazidiwa mafanikio na Sumba kwenye Mpira wa Africa .Ungesema Egypty ,Tunisia na Morocco