nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Raisi ni alama ya nchi, kutumia pesa ya umma kujenga sanamu yake ni kutaka akumbukwe,Kujenga sanamu la mwendazake sio upotevu wa pesa za umma?
Amefeli, ameleta suala la Chadema makusudi ili kuthibitisha mahaba aliyonayo kwa "mama" na huo mfano wake mbovu ndio umeharibu kabisa uhalisia/mantiki ya hiki alichoandika, juu kule nimeshamuonesha ni kwa namna gani Chadema hawastahili kuingizwa kwenye hili andiko lake, badala yake watawala wa nchi hii ndio wahusika wakuu.Evarist Chahali,
..hoja yako ni nzuri, lakini naona umeichanganya na mfano mbaya ulipoleta suala la Chadema kutokwenda mahakamani kuhusiana na waliokuwa wanachama wao kujipeleka bungeni.
..mimi nadhani ungekuwa sahihi kama ungewashinikiza wabunge 19 ni kwanini wanahudhuria bungeni wakati chama chao kimewafukuza uanachama.
..Yuko mbunge mmoja alikiri bungeni kwamba amefukuzwa uanachama, na kitu cha kushangaza Naibu Spika akamkatiza hotuba yake na kumuelekeza afute kauli kuwa amefukuzwa uanachama.
..Pia wanaoweza kwenda mahakamani sio Chadema peke yao. Hata wabunge 19, Tume ya uchaguzi, Ofisi ya Spika, Msajili wa vyama vya siasa, wanayo dhima ya kulipeleka suala hili mahakamani ili liamuliwe kisheria.
..Kuhusu Chadema kutokwenda mahakamani inawezekana ni kutokana na UZOEFU wao na mahakama zetu. Kuna matukio mengi ya mahakama kuwaonea Chadema ama kwa kuwatia hatiani kwa makosa ya kubambikiwa, au kuamua mashauri kwa namna ya kukikandamiza chama hicho.
..Ni maoni yangu kwamba mhimili wa mahakama nao unapaswa kuhojiwa kama umekuwa ukitenda HAKI wakati wote. Kuna umuhimu wa mhimili huo kujitathmini utendaji wake na maadili yake.
..Naamini utendaji mbovu wa mahakama zetu ambazo zinashirikiana na wavunja sheria, na katiba, na hali hiyo imepelekea wananchi kukata tamaa kutafuta haki zao mahakamani.
Amefeli, ameleta suala la Chadema makusudi ili kuthibitisha mahaba aliyonayo kwa "mama" na huo mfano wake mbovu ndio umeharibu kabisa uhalisia/mantiki ya hiki alichoandika, juu kule nimeshamuonesha ni kwa namna gani Chadema hawastahili kuingizwa kwenye hili andiko lake, badala yake watawala wa nchi hii ndio wahusika wakuu.
Na kwa upande wa wananchi inakuwa wepesi sana kuchukuliwa hatua za kisheria wakati viongozi wa nchi hulindwa hata kama wakivunja sheria makusudi, naona huyu jamaa kaja hapa kuitetea hii Katiba mbovu iliyopo "kisayansi fulani", apuuzwe...Mfano wa chama kikuu cha upinzani hapa Tz kutokuwa na imani na mahakama zetu ni uthibitisho wa ulazima wa marekebisho makubwa ya katiba na sheria za nchi yetu.
..Kwa kifupi ni kwamba sheria na taratibu zetu zinawalinda zaidi watawala wanaopoka haki na kuliko wananchi wanaotafuta haki.
Raisi ni alama ya nchi, kutumia pesa ya umma kujenga sanamu yake ni kutaka akumbukwe,
Ingekuwa tunatumia pesa ya umma kutaka kujenga sanamu la mjomba wako au bibi yako, ndo yangekua matumizi mabaya ya pesa
Maana hakuna cha maana wameifanyia hii nchi,
NB: tusiharibu mada ya katiba tafwadhari.
Na kwa upande wa wananchi inakuwa wepesi sana kuchukuliwa hatua za kisheria wakati viongozi wa nchi hulindwa hata kama wakivunja sheria makusudi, naona huyu jamaa kaja hapa kuitetea hii Katiba mbovu iliyopo "kisayansi fulani", apuuzwe.
Kazi ya kupiga ramli huiwezi, kaa kwa kutulia,Akikumbukwa inamsaidia nini bibi yako asiye na maji safi ya kunywa kijijini kwako au dada yako anayedanga miaka mitano sasa kwa kukosa ajira?
Rufaa ya hao wabunge 19 ilishaamuliwa na baraza kuu la chadema?!Amefeli, ameleta suala la Chadema makusudi ili kuthibitisha mahaba aliyonayo kwa "mama" na huo mfano wake mbovu ndio umeharibu kabisa uhalisia/mantiki ya hiki alichoandika, juu kule nimeshamuonesha ni kwa namna gani Chadema hawastahili kuingizwa kwenye hili andiko lake, badala yake watawala wa nchi hii ndio wahusika wakuu.
Katiba ni suala la Kitaifa linalogusa kila nyanja , case study yako kujikita Chadema tu inaondoa uhalali wa uzi wakoHoja: la muhimu zaidi ni heshima kwa sheria, na kwa vile Katiba ni sheria mama, basi heshima husika iwe kwenye sheria zilizomo kwenye katiba.
Hali ilivyo sasa: ni kweli katiba iliyopo ina mapungufu mengi. Na ni kweli kuwa mapungufu hayo yanaathiri maeneo mbalimbali hususan haki za kisiasa/kidemokrasia.
Katiba yote ya sasa ina mapungufu?: Hapana. Kuna sheria nyingi tu katika katiba ya sasa ambazo ni mwafaka. Tatizo ni kwamba heshima kwa sheria ni changamoto kubwa kwa Watanzania. Kwahiyo hata sheria hizo "nzuri" zaishia kuonekana "mbaya" kwa sababu zinapuuzwa
Case study: kwa mujibu wa maelezo ya Chadema, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilifoji majina wa wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho. Kufoji ni kosa la jinai. Hadi muda huu Chadema hawajafungua mashtaka dhidi ya tume ya Taifa ya Uchaguzi kutokana na forgery hiyo.
Tatizo lipo wapi? Ukisikiliza mjadala kuhusu Katiba mpya, focus ipo kwa watawala. Nguvu kubwa za Rais, Tume ya uchaguzi kutokuwa huru, nk. Lakini pengine kwa makusudi au kutojua, hakuna mjadala kuhusu "mapungufu ya watawaliwa." Mfano hai hapa ni huo wa NEC kuvunja sheria lakini wahanga wa uvunjifu huo wa sheria, Chadema hajachukua hatua za kisheria. Sasa hapo tatizo si katiba bali ni kupuuza sheria inayoweza kutoa haki stahili.
Logic ya wakati huo kwa Chadema: zama za Mwendazake, ingekuwa sawa na kupoteza muda kwa Chadema kwenda mahakamani kudai haki yao.
Logic ya sasa: huhitaji kuwa na upeo mkubwa wa kinachoendelea Tanzania kubaini kuwa zama zimebadilika haswa. Japo utaambiwa "kutenguliwa hukumu ya Mbowe na Mdude kuachiwa huru ni suala la kimahakama," ukweli wa wazi ni kuwa haya yasingewezekana katika zama za Mwendazake.
Kwa maana hiyo: kwa vile mazingira yaliyopo ni rafiki kudai haki, angalau kwa kigezo cha kesi hizo mbili, kwanini Chadema wasiiburuze mahakamani Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kosa la kufoji majina 19 ya wabunge wa viti maalum?
Katiba mpya inaingiaje hapa?: Naam kuna haja ya marekebisho ya sheria mbalimbali kandamizi. Endapo mabadiliko hayo ni lazima yafanyike kwa njia ya Katiba mpya, ni sawa. Endapo badala ya katiba mpya tunaweza kufanya marekebisho tu ya katiba, ni sawa pia. However, iwe ni marekebisho ya katiba au ujio wa katiba mpya, kasumba ya kupuuza sheria itafanya marekebisho ya katiba/katiba mpya kuwa tatizo kama ilivyo sasa.
Kama alivyosema Askofu Bagonza kuwa wanaovunja Katiba hii wanaweza pia kuvunja katiba mpya, nami nahitimisha kuwa wanaopuuzia kudai haki zao kipindi hiki cha "katiba yenye mapungufu" wanaweza pia kupuuzia kudai haki zao katika zama za "Katiba mpya."
Na mwisho kabisa, kama hatuwezi kuheshimiana sie wenyewe katika mjadala huu muhimu kwa mustakabali wa taifa letu, hiyo katiba mpya itaheshimiwa vipi maana asiye na heshima kwa mtu ana nafasi kubwa ya kutokuwa na heshima kwa kitu/vitu (eg Katiba).
Mfano hai wa "kukoseana heshima" ni pale nguli wa sheria Prof Issa Shivji alipotoa angalizo kuhusu katiba mpya na kutanabaisha kuwa sio mwarobaini wa kutatua changamoto mbalimbali, baadhi ya "wasiopenda mawazo tofauti na yao" wamedai profesa huyo anazeeka vibaya. Wengine wameenda mbali na kumtusi kuwa "nafasi za u-DC zimejaa."
I stand to be corrected π
Kosa kubwa sana wanalofanya watu wanaodai katiba mpya ni kutilia mkazo kipengele kimoja kama ndicho katiba nzima i.e. tume huru ya uchaguzi. Mimi ni mmoja wa watu wanaoamini kabisa kuwa Tanzania inahitaji katina mpya haraka iwezekanavyo (iwe haraka lakini tusi-compromize uzuri wa katiba). Kwa nini tunahitaji katiba mpya? Tunahitaji katiba mpya kwa sabanu system yetu ya utawala imekuwa-failer na imetufanya kusonga mbele kwa kusuasua sana. Kila akija rais mpya anakuja na ahadi nzuri lakini anapoondoka anakuwa ameshachokwa na anayekuja anakuwa akama anaanza upya. Waungwana wanasema kurudia kufanya jambo lile lile kwa namna ile ile huku ukitegemea matokeo tofauti ni kama wendawazimu. Sisi tumekuwa kama wendawazimu. Kila rais anajaribu njia yake ya utendaji lakini hali haibadiliki. Ebu angalia muundo wa serikali, ebu angalia madaraka ya rais, hebu angalia utendaji na uwajibikaji wa kila mteule wa rais. Just ni impossible kuwa na positive results. Tanzania ni kubwa sana, kutegemea rais awe ndiye alfa na omega ni kama kutegemea rais awe na uwezo wa Mungu. Kwa hiyo kwangu mimi katiba mpya ni suala la utendaji na maendeleo kuliko tume huru ya uchaguzi. Nipe katiba mpya yenye muundo mzuri wa utalawa na acha tume ya uchaguzi jinsi ilivyo, nitakubali. Kwa nini tusikopi aina na muundo wa utawala kutoka klwa nchi zilizopiga hatua?Hoja: la muhimu zaidi ni heshima kwa sheria, na kwa vile Katiba ni sheria mama, basi heshima husika iwe kwenye sheria zilizomo kwenye katiba.
Hali ilivyo sasa: ni kweli katiba iliyopo ina mapungufu mengi. Na ni kweli kuwa mapungufu hayo yanaathiri maeneo mbalimbali hususan haki za kisiasa/kidemokrasia.
Katiba yote ya sasa ina mapungufu?: Hapana. Kuna sheria nyingi tu katika katiba ya sasa ambazo ni mwafaka. Tatizo ni kwamba heshima kwa sheria ni changamoto kubwa kwa Watanzania. Kwahiyo hata sheria hizo "nzuri" zaishia kuonekana "mbaya" kwa sababu zinapuuzwa
Case study: kwa mujibu wa maelezo ya Chadema, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilifoji majina wa wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho. Kufoji ni kosa la jinai. Hadi muda huu Chadema hawajafungua mashtaka dhidi ya tume ya Taifa ya Uchaguzi kutokana na forgery hiyo.
Tatizo lipo wapi? Ukisikiliza mjadala kuhusu Katiba mpya, focus ipo kwa watawala. Nguvu kubwa za Rais, Tume ya uchaguzi kutokuwa huru, nk. Lakini pengine kwa makusudi au kutojua, hakuna mjadala kuhusu "mapungufu ya watawaliwa." Mfano hai hapa ni huo wa NEC kuvunja sheria lakini wahanga wa uvunjifu huo wa sheria, Chadema hajachukua hatua za kisheria. Sasa hapo tatizo si katiba bali ni kupuuza sheria inayoweza kutoa haki stahili.
Logic ya wakati huo kwa Chadema: zama za Mwendazake, ingekuwa sawa na kupoteza muda kwa Chadema kwenda mahakamani kudai haki yao.
Logic ya sasa: huhitaji kuwa na upeo mkubwa wa kinachoendelea Tanzania kubaini kuwa zama zimebadilika haswa. Japo utaambiwa "kutenguliwa hukumu ya Mbowe na Mdude kuachiwa huru ni suala la kimahakama," ukweli wa wazi ni kuwa haya yasingewezekana katika zama za Mwendazake.
Kwa maana hiyo: kwa vile mazingira yaliyopo ni rafiki kudai haki, angalau kwa kigezo cha kesi hizo mbili, kwanini Chadema wasiiburuze mahakamani Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kosa la kufoji majina 19 ya wabunge wa viti maalum?
Katiba mpya inaingiaje hapa?: Naam kuna haja ya marekebisho ya sheria mbalimbali kandamizi. Endapo mabadiliko hayo ni lazima yafanyike kwa njia ya Katiba mpya, ni sawa. Endapo badala ya katiba mpya tunaweza kufanya marekebisho tu ya katiba, ni sawa pia. However, iwe ni marekebisho ya katiba au ujio wa katiba mpya, kasumba ya kupuuza sheria itafanya marekebisho ya katiba/katiba mpya kuwa tatizo kama ilivyo sasa.
Kama alivyosema Askofu Bagonza kuwa wanaovunja Katiba hii wanaweza pia kuvunja katiba mpya, nami nahitimisha kuwa wanaopuuzia kudai haki zao kipindi hiki cha "katiba yenye mapungufu" wanaweza pia kupuuzia kudai haki zao katika zama za "Katiba mpya."
Na mwisho kabisa, kama hatuwezi kuheshimiana sie wenyewe katika mjadala huu muhimu kwa mustakabali wa taifa letu, hiyo katiba mpya itaheshimiwa vipi maana asiye na heshima kwa mtu ana nafasi kubwa ya kutokuwa na heshima kwa kitu/vitu (eg Katiba).
Mfano hai wa "kukoseana heshima" ni pale nguli wa sheria Prof Issa Shivji alipotoa angalizo kuhusu katiba mpya na kutanabaisha kuwa sio mwarobaini wa kutatua changamoto mbalimbali, baadhi ya "wasiopenda mawazo tofauti na yao" wamedai profesa huyo anazeeka vibaya. Wengine wameenda mbali na kumtusi kuwa "nafasi za u-DC zimejaa."
I stand to be corrected π
Akili inaanza kurudiHoja: la muhimu zaidi ni heshima kwa sheria, na kwa vile Katiba ni sheria mama, basi heshima husika iwe kwenye sheria zilizomo kwenye katiba.
Hali ilivyo sasa: ni kweli katiba iliyopo ina mapungufu mengi. Na ni kweli kuwa mapungufu hayo yanaathiri maeneo mbalimbali hususan haki za kisiasa/kidemokrasia.
Katiba yote ya sasa ina mapungufu?: Hapana. Kuna sheria nyingi tu katika katiba ya sasa ambazo ni mwafaka. Tatizo ni kwamba heshima kwa sheria ni changamoto kubwa kwa Watanzania. Kwahiyo hata sheria hizo "nzuri" zaishia kuonekana "mbaya" kwa sababu zinapuuzwa
Case study: kwa mujibu wa maelezo ya Chadema, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilifoji majina wa wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho. Kufoji ni kosa la jinai. Hadi muda huu Chadema hawajafungua mashtaka dhidi ya tume ya Taifa ya Uchaguzi kutokana na forgery hiyo.
Tatizo lipo wapi? Ukisikiliza mjadala kuhusu Katiba mpya, focus ipo kwa watawala. Nguvu kubwa za Rais, Tume ya uchaguzi kutokuwa huru, nk. Lakini pengine kwa makusudi au kutojua, hakuna mjadala kuhusu "mapungufu ya watawaliwa." Mfano hai hapa ni huo wa NEC kuvunja sheria lakini wahanga wa uvunjifu huo wa sheria, Chadema hajachukua hatua za kisheria. Sasa hapo tatizo si katiba bali ni kupuuza sheria inayoweza kutoa haki stahili.
Logic ya wakati huo kwa Chadema: zama za Mwendazake, ingekuwa sawa na kupoteza muda kwa Chadema kwenda mahakamani kudai haki yao.
Logic ya sasa: huhitaji kuwa na upeo mkubwa wa kinachoendelea Tanzania kubaini kuwa zama zimebadilika haswa. Japo utaambiwa "kutenguliwa hukumu ya Mbowe na Mdude kuachiwa huru ni suala la kimahakama," ukweli wa wazi ni kuwa haya yasingewezekana katika zama za Mwendazake.
Kwa maana hiyo: kwa vile mazingira yaliyopo ni rafiki kudai haki, angalau kwa kigezo cha kesi hizo mbili, kwanini Chadema wasiiburuze mahakamani Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kosa la kufoji majina 19 ya wabunge wa viti maalum?
Katiba mpya inaingiaje hapa?: Naam kuna haja ya marekebisho ya sheria mbalimbali kandamizi. Endapo mabadiliko hayo ni lazima yafanyike kwa njia ya Katiba mpya, ni sawa. Endapo badala ya katiba mpya tunaweza kufanya marekebisho tu ya katiba, ni sawa pia. However, iwe ni marekebisho ya katiba au ujio wa katiba mpya, kasumba ya kupuuza sheria itafanya marekebisho ya katiba/katiba mpya kuwa tatizo kama ilivyo sasa.
Kama alivyosema Askofu Bagonza kuwa wanaovunja Katiba hii wanaweza pia kuvunja katiba mpya, nami nahitimisha kuwa wanaopuuzia kudai haki zao kipindi hiki cha "katiba yenye mapungufu" wanaweza pia kupuuzia kudai haki zao katika zama za "Katiba mpya."
Na mwisho kabisa, kama hatuwezi kuheshimiana sie wenyewe katika mjadala huu muhimu kwa mustakabali wa taifa letu, hiyo katiba mpya itaheshimiwa vipi maana asiye na heshima kwa mtu ana nafasi kubwa ya kutokuwa na heshima kwa kitu/vitu (eg Katiba).
Mfano hai wa "kukoseana heshima" ni pale nguli wa sheria Prof Issa Shivji alipotoa angalizo kuhusu katiba mpya na kutanabaisha kuwa sio mwarobaini wa kutatua changamoto mbalimbali, baadhi ya "wasiopenda mawazo tofauti na yao" wamedai profesa huyo anazeeka vibaya. Wengine wameenda mbali na kumtusi kuwa "nafasi za u-DC zimejaa."
I stand to be corrected π
Bado.Rufaa ya hao wabunge 19 ilishaamuliwa na baraza kuu la chadema?!
Noted...hatakiwi kupuuzwa, vinginevyo anaweza kuleta madhara kwa jamii.
..ukimpatia majibu mazuri unatoa elimu kwa wasomaji ambao wangeweza kuwa mislead na alichokiandika.
Mkuu watu wengine wanajipendekeza kutafta uteuzi.Mijadala imeishafanyika na Warioba, ameenda kila kata ya nchi hii na kukusanya maoni kutoka katika makundi yote na jinsia zote,na ametumia zaidi ya Bilioni 120, mnataka mchakato upi na mawazo yapi tena jamani? Mbona kila siku tunarudishana nyuma. Au wengine mlikuwa hamfatilii? Mnatuchosha. Tatizo sio rasimu ya Warioba, tatizo lilianzia pale CCM walipoanza kuchomoa vipengele muhimu kutoka kwenye rasimu ya Warioba na kuchomeka vyao kulinda maslahi yao.. wapinzani kuona hivyo wakagoma, wakajitoa kwenye mchakato wakipinga uhuni huo.
Kinachotakiwa sasaiv ni kuitisha upya bunge la katiba na kuita makundi wakilishi kutoka kila sekta na jinsia kwa usawa, waanze upya kuipitia rasimu ya Warioba na hatimaye waipitishe iwe katiba mpya. Period!
Mwana kitengo just sit and not be correctedHoja: la muhimu zaidi ni heshima kwa sheria, na kwa vile Katiba ni sheria mama, basi heshima husika iwe kwenye sheria zilizomo kwenye katiba.
Hali ilivyo sasa: ni kweli katiba iliyopo ina mapungufu mengi. Na ni kweli kuwa mapungufu hayo yanaathiri maeneo mbalimbali hususan haki za kisiasa/kidemokrasia.
Katiba yote ya sasa ina mapungufu?: Hapana. Kuna sheria nyingi tu katika katiba ya sasa ambazo ni mwafaka. Tatizo ni kwamba heshima kwa sheria ni changamoto kubwa kwa Watanzania. Kwahiyo hata sheria hizo "nzuri" zaishia kuonekana "mbaya" kwa sababu zinapuuzwa
Case study: kwa mujibu wa maelezo ya Chadema, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilifoji majina wa wabunge 19 wa viti maalum wa chama hicho. Kufoji ni kosa la jinai. Hadi muda huu Chadema hawajafungua mashtaka dhidi ya tume ya Taifa ya Uchaguzi kutokana na forgery hiyo.
Tatizo lipo wapi? Ukisikiliza mjadala kuhusu Katiba mpya, focus ipo kwa watawala. Nguvu kubwa za Rais, Tume ya uchaguzi kutokuwa huru, nk. Lakini pengine kwa makusudi au kutojua, hakuna mjadala kuhusu "mapungufu ya watawaliwa." Mfano hai hapa ni huo wa NEC kuvunja sheria lakini wahanga wa uvunjifu huo wa sheria, Chadema hajachukua hatua za kisheria. Sasa hapo tatizo si katiba bali ni kupuuza sheria inayoweza kutoa haki stahili.
Logic ya wakati huo kwa Chadema: zama za Mwendazake, ingekuwa sawa na kupoteza muda kwa Chadema kwenda mahakamani kudai haki yao.
Logic ya sasa: huhitaji kuwa na upeo mkubwa wa kinachoendelea Tanzania kubaini kuwa zama zimebadilika haswa. Japo utaambiwa "kutenguliwa hukumu ya Mbowe na Mdude kuachiwa huru ni suala la kimahakama," ukweli wa wazi ni kuwa haya yasingewezekana katika zama za Mwendazake.
Kwa maana hiyo: kwa vile mazingira yaliyopo ni rafiki kudai haki, angalau kwa kigezo cha kesi hizo mbili, kwanini Chadema wasiiburuze mahakamani Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kosa la kufoji majina 19 ya wabunge wa viti maalum?
Katiba mpya inaingiaje hapa?: Naam kuna haja ya marekebisho ya sheria mbalimbali kandamizi. Endapo mabadiliko hayo ni lazima yafanyike kwa njia ya Katiba mpya, ni sawa. Endapo badala ya katiba mpya tunaweza kufanya marekebisho tu ya katiba, ni sawa pia. However, iwe ni marekebisho ya katiba au ujio wa katiba mpya, kasumba ya kupuuza sheria itafanya marekebisho ya katiba/katiba mpya kuwa tatizo kama ilivyo sasa.
Kama alivyosema Askofu Bagonza kuwa wanaovunja Katiba hii wanaweza pia kuvunja katiba mpya, nami nahitimisha kuwa wanaopuuzia kudai haki zao kipindi hiki cha "katiba yenye mapungufu" wanaweza pia kupuuzia kudai haki zao katika zama za "Katiba mpya."
Na mwisho kabisa, kama hatuwezi kuheshimiana sie wenyewe katika mjadala huu muhimu kwa mustakabali wa taifa letu, hiyo katiba mpya itaheshimiwa vipi maana asiye na heshima kwa mtu ana nafasi kubwa ya kutokuwa na heshima kwa kitu/vitu (eg Katiba).
Mfano hai wa "kukoseana heshima" ni pale nguli wa sheria Prof Issa Shivji alipotoa angalizo kuhusu katiba mpya na kutanabaisha kuwa sio mwarobaini wa kutatua changamoto mbalimbali, baadhi ya "wasiopenda mawazo tofauti na yao" wamedai profesa huyo anazeeka vibaya. Wengine wameenda mbali na kumtusi kuwa "nafasi za u-DC zimejaa."
I stand to be corrected π
Hiyo mijadala iendeshwe na nani sasa ?Na mijadala ya katiba mpya iwe huru, isifungamane na vyama vya siasa
Maana lengo la chama chechote cha siasa ni madalaka, si maslahi ya mwananchi
Kuna chama kinajifanya kiko mstari wa mbele kutafuta katiba mpya ila ukiwaangalia viongozi wake wote ni wezi na wenye tamaa ya madalaka
Sitegemei chama kama hiki kinaweza kutetea mwananchi.