Case study: Waliosoma english medium ni "wazuri" kuliko waliosoma shule za kawaida

Case study: Waliosoma english medium ni "wazuri" kuliko waliosoma shule za kawaida

Naanza kijufunza kwamba kwamba mtu anaweza akatumia maneno ambayo hayatumiki katika kuzungumza, aidha ni ya kizamani mno na anaweza akawa ameyarundika kiasi kwamba hayaleti maana.

Umesema yale maneno ya Lumumba ni ya kawaida tu, nataka kujua umeyatofautishaje na haya yangu?
Tofauti ni maneno yenyewe vipi?

Oh okay, ni hivi, Lumumba katumia maneno mengi ambayo hutumika katika matumizi karibu ya kila siku. Ingawa kuna baadhi yapo kayatumia ambayo hayapo katika matumizi makubwa ya kila siku au mara kwa mara.

Hiyo nukuu ingine (sijui ni ya nani) ina maneno ambayo hata hayapo kwenye baadhi za kamusi za matumizi ya kila siku.


Kimsingi hakuna tofauti sana kwani wote wamechanganya changanya kati ya maneno ambayo hayatumiki sana na yale ambayo yanatumika sana.
 
401572_2898508055568_746390177_n.jpg
 
Thanks a lot and have a nice night.
Oh okay, ni hivi, Lumumba katumia maneno mengi ambayo hutumika katika matumizi karibu ya kila siku. Ingawa kuna baadhi yapo kayatumia ambayo hayapo katika matumizi makubwa ya kila siku au mara kwa mara.

Hiyo nukuu ingine (sijui ni ya nani) ina maneno ambayo hata hayapo kwenye baadhi za kamusi za matumizi ya kila siku.


Kimsingi hakuna tofauti sana kwani wote wamechanganya changanya kati ya maneno ambayo hayatumiki sana na yale ambayo yanatumika sana.
 
Nyani Ngabu, asante kwa video, ntaisikiliza baadaye naona network sasa hivi inasuasua.
Lakini, hivi vocab ngumu ni mpaka ziweje?

Mfano mtu anakuandikia hivi "...may your day be panctuated with arevanchism whose magniloquence can only be theatropistically analysed by the use of a reminiscent excarbation. I hope you dont mind my apostacy. I know your arquistic impedance might not engulf this kind of debanched pedagogy because of it's repuginatious tolecentrim..." hapa atakuwa ametumia maneno magumu au?

CC ​ Kiranga.

hahaha kaka hizo bombastic words though sizielewi,they make me to LMAO.hatari sana aiseeee.
 
Kwanza kabisa, sijawahi kukutana na mtu anayeongea hivyo. Hata kwenye PMQ kwenye House of Commons huwa hawazungumzi hivyo. Hata kwenye kesi pale Old Bailey huwa hawatumii misamiati kama hiyo.

Mara nyingi utakuta maneno kama hayo yapo kwenye maandishi tu. Na mengi ya hayo maneno huwa ni ya zamani kiasi cha matumizi yake katika jamii kupungua. Na ukichunguza zaidi unaweza hata kukuta huyo mwandishi si mzungumzaji wa Kiingereza kama lugha yake ya kwanza, hivyo kunakuwa hulka fulani ya kujionyesha na wewe unaijua misamiati migumu (isiyotumika mara kwa mara) ya Kiingereza (si unajua tena Kiingereza ni ishara hadhi, elimu, akili, na sifa zingine ziendanazo).

Lakini kwa mtu ambaye anapenda kujisomea mambo mbalimbali zikiwemo kamusi, maneno kama hayo wala si mageni. Na siku hizi mambo ya mtandao yamesaidia sana. Unaweza kujiunga na tovuti za kamusi mbalimbali za Kiingereza ambazo huwa zina 'vocabulary quizzes' kwa ajili ya mazoezi ya kuongeza na kuimarisha msamiati.

Halafu, ukichunguza kwa makini zaidi unaweza kukuta mwandishi kayalundika lundika (pleonasm) tu hayo maneno mpaka kapoteza hata mantiki kabisa. Lakini kwa vile kuna dhana ya kwamba hayo ni maneno magumu, ni watu wachache sana watakaoweza au watakaokuwa na muda wa kuangalia matumizi pamoja na miundo ya kisarufi kama ni sahihi.

Ushawahi kukutana na mtu yeyote anayejibu maswali ya mtihani kwa kutumia maneno kama hayo?

nimekuelewa vizuri sana mkuu.upo sahihi 100%
 
burudani nyingine toka kwa plo lumumba ambayo imenifanya nicheke ni hii hapa: PLO LUMUMBA & ENGLISH
A NORMAL PERSON : People who live in
glass houses should not throw stones.
PLO LUMUMBA : Individuals who make
their abodes in vitreous edifices
would be advised to refrain from
catapulting perilous projectiles.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Twinkle, twinkle, little
star
PLO LUMUMBA : Scintillate, scintillate,
asteroid minim.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : All that glitters is not
gold.
PLO LUMUMBA : All articles that coruscate
with resplendence are not
truly auriferous.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Beggars are not
choosers
PLO LUMUMBA : Sorting on the part of
mendicants must be interdicted.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Dead men tell no tales
PLO LUMUMBA : Male cadavers are
incapable of rendering any testimony.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Beginner's luck
PLO LUMUMBA : Neophyte's serendipity.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : A rolling stone gathers
no moss
PLO LUMUMBA : A revolving lithic
conglomerate accumulates no congeries
of small, green, biophytic plant.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Birds of a feather flock
together
PLO LUMUMBA : Members of an avian
species of identical plumage tend to
congregate.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Beauty is only skin
deep
PLO LUMUMBA : Pulchritude possesses
solely cutaneous profundity.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Cleanliness is godliness
PLO LUMUMBA : Freedom from
incrustations of grime is contiguous to
rectitude.
**********************************
***********************
NORMAL PERSON : There's no use crying
over spilt milk
PLO LUMUMBA : It is fruitless to become
lachrymose of precipitately
departed lactile fluid.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : You can't try to teach
an old dog new tricks
PLO LUMUMBA : It is fruitless to attempt
to indoctrinate a
superannuated canine with innovative
maneuvers.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Look before you leap
PLO LUMUMBA : Surveillance should
precede saltation.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : He who laughs last,
laughs best
PLO LUMUMBA : The person presenting
the ultimate cachinnation
possesses thereby the optimal
cachinnation.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : All work and no play
makes Jack a dull boy.
PLO LUMUMBA : Exclusive dedication to
necessitous chores without
interludes of hedonistic diversion renders
Jack a hebetudinous fellow.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Where there's smoke,
there's fire!
PLO LUMUMBA : Where there are visible
vapours having their provenance
in ignited carbonaceous materials, there is
conflagration. nimeitoa hapa : groups.yahoo.com/neo/groups/africa-oped/conversations/topics/33216 . cc Nyani Ngabu Mjuni Lwambo Kiranga et al
 
Last edited by a moderator:
Nimekubali kwamba huyu jamaa ni malaya wa lugha.
burudani nyingine toka kwa plo lumumba ambayo imenifanya nicheke ni hii hapa: PLO LUMUMBA & ENGLISH
A NORMAL PERSON : People who live in
glass houses should not throw stones.
PLO LUMUMBA : Individuals who make
their abodes in vitreous edifices
would be advised to refrain from
catapulting perilous projectiles.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Twinkle, twinkle, little
star
PLO LUMUMBA : Scintillate, scintillate,
asteroid minim.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : All that glitters is not
gold.
PLO LUMUMBA : All articles that coruscate
with resplendence are not
truly auriferous.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Beggars are not
choosers
PLO LUMUMBA : Sorting on the part of
mendicants must be interdicted.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Dead men tell no tales
PLO LUMUMBA : Male cadavers are
incapable of rendering any testimony.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Beginner's luck
PLO LUMUMBA : Neophyte's serendipity.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : A rolling stone gathers
no moss
PLO LUMUMBA : A revolving lithic
conglomerate accumulates no congeries
of small, green, biophytic plant.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Birds of a feather flock
together
PLO LUMUMBA : Members of an avian
species of identical plumage tend to
congregate.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Beauty is only skin
deep
PLO LUMUMBA : Pulchritude possesses
solely cutaneous profundity.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Cleanliness is godliness
PLO LUMUMBA : Freedom from
incrustations of grime is contiguous to
rectitude.
**********************************
***********************
NORMAL PERSON : There's no use crying
over spilt milk
PLO LUMUMBA : It is fruitless to become
lachrymose of precipitately
departed lactile fluid.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : You can't try to teach
an old dog new tricks
PLO LUMUMBA : It is fruitless to attempt
to indoctrinate a
superannuated canine with innovative
maneuvers.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Look before you leap
PLO LUMUMBA : Surveillance should
precede saltation.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : He who laughs last,
laughs best
PLO LUMUMBA : The person presenting
the ultimate cachinnation
possesses thereby the optimal
cachinnation.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : All work and no play
makes Jack a dull boy.
PLO LUMUMBA : Exclusive dedication to
necessitous chores without
interludes of hedonistic diversion renders
Jack a hebetudinous fellow.
**********************************
*********************
NORMAL PERSON : Where there's smoke,
there's fire!
PLO LUMUMBA : Where there are visible
vapours having their provenance
in ignited carbonaceous materials, there is
conflagration. nimeitoa hapa : groups.yahoo.com/neo/groups/africa-oped/conversations/topics/33216 . cc Nyani Ngabu Mjuni Lwambo Kiranga et al
 
Speaking of these shamelessly bombastic people, there was a certain Nigerian senator by the name of Patrick Obahiagbon, the guy was totally without shame.
 
all in all lumumba ni kipanga,ama sio.

PLO ni wa kawaida tu. Na kama nilivyosema hapo awali, ni watu wachache sana ambao huongea kwa kutumia misamiati ambayo huwa haitumiwi kwa sana.

Hebu mwangalie tena hapa halafu nambie katumia maneno gani ambayo ni makubwa....

 
Last edited by a moderator:
Ningekua mhariri,ningebadilisha makala yako isomeke ''Nchi ambazo hazikutawaliwa na mkoloni,esp Mwingereza ni mambulula'' By Tuko kisha naweka picha yako in passport size....
 
Last edited by a moderator:
PLO ni wa kawaida tu. Na kama nilivyosema hapo awali, ni watu wachache sana ambao huongea kwa kutumia misamiati ambayo huwa haitumiwi kwa sana.

Hebu mwangalie tena hapa halafu nambie katumia maneno gani ambayo ni makubwa....



kwani ngabu kigezo cha kutambua uwezo mtu ktk lugha ni kuzungumza kwake tuu.?!vp kuhusu uwezo wake wa kuiandika lugha hiyo kwa ufasaha kama anavyo fanya lumumba?.kwanini mitihani ya lugha mashuleni tunatahiniwa kwa kupitia maandishi na siyo imla.?mkubali tu huyo jaluo PLO kaka usimbeze.lol
 
Last edited by a moderator:
kwani ngabu kigezo cha kutambua uwezo mtu ktk lugha ni kuzungumza kwake tuu.?!vp kuhusu uwezo wake wa kuiandika lugha hiyo kwa ufasaha kama anavyo fanya lumumba?.kwanini mitihani ya lugha mashuleni tunatahiniwa kwa kupitia maandishi na siyo imla.?mkubali tu huyo jaluo PLO kaka usimbeze.lol

Kuzungumza ni tofauti kabisa na kuandika. Mtu unapoandika mara nyingi unakuwa na muda zaidi wa kujipanga na kujitayarisha. Unaweza ukawa unaandika huku umerundika mi thesaurus pembeni ya kukusaidia.

Lakini unapozungumza hususan yakiwa ni mazungumzo ya papo kwa hapo ni tofauti kabisa na kuandika. Ndo maana hata kwenye hizo youtube clips nilizoweka PLO hatumii maneno ambayo huwa hayatumiwi sana katika maongezi ya kawaida ya kila siku.
 
Huyo Jeff Koinange, hiyo intro utafikiri anamtambulisha messiah gani sijui.

This video should be a part of every school of journalism that is interested in objectivity, highlighting what not to do as far as dramatization and being too carried away.

For a moment I thought he was auditioning for some part in a high drama Shakespearean play after being ditched by CNN.

Do people really sit down and stomach such tacky, in your face presentation?
 
Nipe statistics na ulikozitoa na methodolody iliyotumiwa kukufanya useme hivyo.

Halafu hujanisoma ama hujanielewa.

Watu wanaosoma English medium schools wana advantage, hili halijapingwa, ukinisoma utaona nimeandika, kama hujaona ama hujasoma au comprehension yako ndogo.

Swali langu halijajibiwa, advantage hii ni kiasi gani inatokana na shule na kiasi gani inatokana na mazingira ya nyumbani na kwingine nje ya shule?

Hujajibu swali nililouliza, na ulilojibu sijauliza.
You are being too petty!
Ingawa mleta mada amezungumzia English medium schools, mzizi wa hoja yake unarudi kwenye early exposure to English environment ( mleta mada ametumia English medium school, wewe uka-twist na kutumia nyimbo na filamu za nje) and late exposure to English ( muanzisha uzi ametumia public schools).

Kifupi, wewe uliyekulia kwenye muziki na filamu za English na yule aliyesomea English medium school mlikuwa exposed to the same early environment. Wote mlipata early exposure to English na hio ndio mada hapa. Ndio maana nikasema wewe ni outlier thou of the same environment.

Comprehension yangu inaweza kuwa ndogo, am still learning...but that's not the issue here
Nimeandika wazi kabisa 'Muanzisha uzi amesema kuwa ni general conclusion...' halafu unakuja kuniomba nikupe statistics na methodology iliyotumika!

Mwisho wa siku utaniomba hata statistics na methodology zilizowafanya wazee wetu waseme ' asiyesikia la mkuu huvunjika guu'.
I firmly believe in statistics, I ,love well-researched issues but the world will come to a stop if we are obssessed with statistics.

If you believe in environment playing a big influence on how someone turns out, do you still want statistics to prove to what extent someone who has been brought up in an English environment (In our original case, English Medium school) has over someone brought up in Swahili environment (in our case public school)?

Think about the cost benefit analysis of that research...should we reduce everything to statistical research and completely ignore overwhelming observed tendencies in our socities?

Anyway, for curiosity sake why don't you read the Uwezo and the State of East Africa reports that indirectly provides more statistical evidence.

I thought I had a big apetite for statistics... then I met you!
 
You are being too petty!
Ingawa mleta mada amezungumzia English medium schools, mzizi wa hoja yake unarudi kwenye early exposure to English environment ( mleta mada ametumia English medium school, wewe uka-twist na kutumia nyimbo na filamu za nje) and late exposure to English ( muanzisha uzi ametumia public schools).

Kifupi, wewe uliyekulia kwenye muziki na filamu za English na yule aliyesomea English medium school mlikuwa exposed to the same early environment. Wote mlipata early exposure to English na hio ndio mada hapa. Ndio maana nikasema wewe ni outlier thou of the same environment.

Comprehension yangu inaweza kuwa ndogo, am still learning...but that's not the issue here
Nimeandika wazi kabisa 'Muanzisha uzi amesema kuwa ni general conclusion...' halafu unakuja kuniomba nikupe statistics na methodology iliyotumika!

Mwisho wa siku utaniomba hata statistics na methodology zilizowafanya wazee wetu waseme ' asiyesikia la mkuu huvunjika guu'.
I firmly believe in statistics, I ,love well-researched issues but the world will come to a stop if we are obssessed with statistics.

If you believe in environment playing a big influence on how someone turns out, do you still want statistics to prove to what extent someone who has been brought up in an English environment (In our original case, English Medium school) has over someone brought up in Swahili environment (in our case public school)?

Think about the cost benefit analysis of that research...should we reduce everything to statistical research and completely ignore overwhelming observed tendencies in our socities?

Anyway, for curiosity sake why don't you read the Uwezo and the State of East Africa reports that indirectly provides more statistical evidence.

I thought I had a big apetite for statistics... then I met you!

Kama bungeni hapa ndipo mbunge anajibu "pamoja na majibu mazuri ya waziri... swali halijajibiwa"

Uwezo wamechunguza uwezo wa Kiingereza wa Watanzania wenye uwezo wa kwenda english medium schools ambao wanaenda kwenye shule za UPE?
 
Huyo Jeff Koinange, hiyo intro utafikiri anamtambulisha messiah gani sijui.

This video should be a part of every school of journalism that is interested in objectivity, highlighting what not to do as far as dramatization and being too carried away.

For a moment I thought he was auditioning for some part in a high drama Shakespearean play after being ditched by CNN.

Do people really sit down and stomach such tacky, in your face presentation?

That's just Jeff. He does that religiously. I think it's part of his schtick.

Here he is introducing your buddy:becky:



And here is a rather toned down intro of Mkapa

 
Last edited by a moderator:
Thanks Nyani Ngabu umenikumbusha my "buddy", natafuta kitabu chake cha pili "Kidneys for the King" the guy, whatever his politics, can at least try to build a point, however controversial. Ana opinion mpaka kuhusu rangi na style za tai kaweka kwenye "Peeling off The Mask". Mimi nilipenda alivyo mu expose Raila kama a charlatan tu, he confirmed my all along suspicions.

Somebody needs to Miguna Kikwete.

Let me enjoy the videos, albeit with having to watch an over made up Jeff, not to be morbid but watching Jeff is almost like watching a bad mortician's job.

Sasa anatoka kwenye high Shakesperean drama anaenda kwenye Spanish telenovela, anakwambia "he is a multi-author I guess". Is that even proper English? I can understand multi-book author, but "multi-author"? Isn't that like saying he is a multi-doctor? And that's just the intro.

I give the guy a break, only because he brought me the pleasure of watching Miguna and Mkapa back to back.
 
Last edited by a moderator:
Kama bungeni hapa ndipo mbunge anajibu "pamoja na majibu mazuri ya waziri... swali halijajibiwa"

Uwezo wamechunguza uwezo wa Kiingereza wa Watanzania wenye uwezo wa kwenda english medium schools ambao wanaenda kwenye shule za UPE?
Stop being petty for the sake of being different...naona huo ndio ugonjwa wako.
Umeleta vitu vingine kwenye mjadala ili uonekane uko tofauti. Naona umehamia bungeni kwetu!

I can smell an ego problem here...trying too hard too standout! Oh! Sijui nilikulia mazingira ya filamu na muziki wa Marekani, kuangalia runinga za nje miaka hiyo...so what?

Nimekwambia ripoti za Uwezo, Twaweza na Hali ya Afrika Mashariki zote zimekuwa zikizungumzia hilo jambo kila siku bado unaleta siasa za bunge letu.

Hoja ni early exposure na late exposure, majibu yako wazi kwenye nyanja yoyote ile.Kwa mfano kwenye mpira, wachezaji waliopitia academies za mpira wana advantage dhidi ya wale ambao hawakupata hio fursa. Sijawahi kusikia mtu amefanya statistical research kujua ni kwa asilimia ngapi kama wewe unavyodai!

Ila kama unataka kuonekana uko tofauti, in a different class go on and do the research to satisfy your obsession.
 
Back
Top Bottom