brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Wasanii nguli wa hip hop africa kusini waliokuwa na beef zito hatimae wamemaliza tofauti zako na kupatana
Kupatana huko kilithibitishwa jana wakati Cassper nyovest alipofanya show ya kihistoria kwenye uwanja wa mpira wa orando wenye kujaza watu zaidi ya 40,000
Aka alitokea kwenye show hiyo na kuonyesha sapoti kwa mwenzie, inasemekana girlfriend wa aka wanamitindo bonang mathleba alifanya kazi kubwa kuwapatanisha magwiji hao
Ikumbukwe mwaka jana Davido na Wizkid walimaliza beef lao lilikuwa linatikisa nigeria na africa.
Natumai alikiba na diamond watakuwa wamejifunza kitu
Kupatana huko kilithibitishwa jana wakati Cassper nyovest alipofanya show ya kihistoria kwenye uwanja wa mpira wa orando wenye kujaza watu zaidi ya 40,000
Aka alitokea kwenye show hiyo na kuonyesha sapoti kwa mwenzie, inasemekana girlfriend wa aka wanamitindo bonang mathleba alifanya kazi kubwa kuwapatanisha magwiji hao
Ikumbukwe mwaka jana Davido na Wizkid walimaliza beef lao lilikuwa linatikisa nigeria na africa.
Natumai alikiba na diamond watakuwa wamejifunza kitu