nobodylikedme
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 741
- 768
Jamaa linapenda sana sifa kama bashite au diamond alafu kila kitu lina post mtandaoni yaani hata likiwa linapiga miayo lazima lije insta live, sasa si ubashite huoHapo ulipomfananisha na Bashite umenifurahisha sana Mkuu.
Inaonekama kama uko obsessed na jamaa .Kama humkubali jamaa si umpotezee tuJamaa linapenda sana sifa kama bashite au diamond alafu kila kitu lina post mtandaoni yaani hata likiwa linapiga miayo lazima lije insta live, sasa si ubashite huo
Hahahahaaaaa mbavu zangu mimi vituo vyote vya ndenge vingekuwa km ubungo terminal........Hii chai hii. Utajiri wa dola za Marekani milioni tatu ndio amiliki ndege? Basi ingekuwa hivyo, huko angani kungekuwa na foleni kama Magomeni Mapipa.
Ndege amenunuliwa na kampuni aliyoingia nayo mkatabaHii chai hii. Utajiri wa dola za Marekani milioni tatu ndio amiliki ndege? Basi ingekuwa hivyo, huko angani kungekuwa na foleni kama Magomeni Mapipa.
haaHaa....Hii chai hii. Utajiri wa dola za Marekani milioni tatu ndio amiliki ndege? Basi ingekuwa hivyo, huko angani kungekuwa na foleni kama Magomeni Mapipa.
Ndege amenunuliwa na kampuni aliyoingia nayo mkataba
Ahahahaa... Eti ramli lakini hakupaswa kuni block ule ni utoto kwa kweli ambao hata dogo janja hawezi kufanya
mimi nina 1.4$ million na siwazi kununua ndege maana najua bei yake ni $5 na point milion. eti 3. anunue ndege labda bawa moja la ndegeHii chai hii. Utajiri wa dola za Marekani milioni tatu ndio amiliki ndege? Basi ingekuwa hivyo, huko angani kungekuwa na foleni kama Magomeni Mapipa.
Casper ni mtu anaependa sana showing off na anajionaga yeye ndio king of performance tangu aweke record ya kuujaza uwanja wa Orlando pirate na hivi juzi juzi wa FNB basi kila mara utaskia "your record breaker of live performance is here, time to shutdown the stadium again" halafu na mapicha picha kila mara, wakati AKA huwa hata akienda kupiga show Paris anapata nyomi la watu lakini huwezi kumuona akiweka caption za majigambo. Ndio maana mimi nikamwambia hawezi kufika level ya AKA kimuziki wala sio kimkwanjaWe ndio umeleta utoto kwani fedha zao zinakuhusu nini mpaka uwalinganishe? Yaani seriously umeenda kwenye page yake na kuandika humpati AKA kwa fedha? Man try to evaluate yourself hizo tabia za kijinga sana
ndo ukome kuwa unapeleka akili za kishenzi ..kama nyiye team kiba100 mnamatatizo ya matusi sana... fuatilia life yako.Huyu jamaa nae pamoja na jina kubwa alilonalo lakini ana tabia za kswahili swahili tu.
Nilicomment kwenye page kuwa hawezi kufikia level ya AKA, jamaa lilivyokuwa puuzi eti lika ni block.
Ni lifala kweli kama bashite.
Mkuu acha utani mtoto wa mama Aka Umlinganishe na cassper?? Your not serious.... Huyo AKA hata KO bado kamuacha mbali sana tuHuyu jamaa nae pamoja na jina kubwa alilonalo lakini ana tabia za kswahili swahili tu.
Nilicomment kwenye page kuwa hawezi kufikia level ya AKA, jamaa lilivyokuwa puuzi eti lika ni block.
Ni lifala kweli kama bashite.
Hata mimi ningekublock tu! Maana u mchawiHuyu jamaa nae pamoja na jina kubwa alilonalo lakini ana tabia za kswahili swahili tu.
Nilicomment kwenye page kuwa hawezi kufikia level ya AKA, jamaa lilivyokuwa puuzi eti lika ni block.
Ni lifala kweli kama bashite.
Tofautisha kati ya show of na uhalisia.... Yaani ina maana ukiongea ukweli ndio unajionyesha?? Watanzania shida tunapenda unafki unafki kma ni ukweli anajaza viwanja kwanni akisema muone ana show off??? Ulitaka adanganye kuwa huwa anajaza sebule na sio viwanja??Casper ni mtu anaependa sana showing off na anajionaga yeye ndio king of performance tangu aweke record ya kuujaza uwanja wa Orlando pirate na hivi juzi juzi wa FNB basi kila mara utaskia "your record breaker of live performance is here, time to shutdown the stadium again" halafu na mapicha picha kila mara, wakati AKA huwa hata akienda kupiga show Paris anapata nyomi la watu lakini huwezi kumuona akiweka caption za majigambo. Ndio maana mimi nikamwambia hawezi kufika level ya AKA kimuziki wala sio kimkwanja
Mkuu ni kweli AKA anaweza kuwa mtoto wa mama kwani kwanza ametoka familia ya kishua huko Capetown, western cape tofauti na Casper aliyekulia kwenye mitaa ya vumbi huko mafikeng na hata kimuziki huyu casper amepitia shuruba nyingi sana hadi kufikia hapo alipo. Ila tu kwambia AKA amepata international recognition kwa ngoma zake alizosimama mwenyewe bila kutembelea kivuli cha mtu kama "mistake", " run jozi" na "in my walk" na hapo hakuna mtu aliyekuwa anamjua Casper nje ya south Africa, Casper amekuja kupata international recognition kwenye ngoma ya "doc tabeleze" mwaka 2014 na aliyemshirikisha twalib.Mkuu acha utani mtoto wa mama Aka Umlinganishe na cassper?? Your not serious.... Huyo AKA hata KO bado kamuacha mbali sana tu
Kama umeskiliza album ya THUTO utaelewa nachokisema.... Tuache ushabiki cassper is way ahead
Jamaa hana tofauti na diamond wa tandale, kujiona mjuaji na kuwadharau waliokutangulia na kuonyesha onyesha vitu utafikiri wengine hawatakuja kufifanya au kuwa navyo!Tofautisha kati ya show of na uhalisia.... Yaani ina maana ukiongea ukweli ndio unajionyesha?? Watanzania shida tunapenda unafki unafki kma ni ukweli anajaza viwanja kwanni akisema muone ana show off??? Ulitaka adanganye kuwa huwa anajaza sebule na sio viwanja??
Funny