Kuna sehemu anafeli maana akiporwa anachanganyikiwa hapa kwa suzie itabidi ale dona na samaki mbichi na anywe sana mo energy maana suzie kila wakati anawaza kusokotanaCasto mzee wa kuporwa mademu, kisha anakunywa pombe Kali mpka anazima wiki nzima. Hapo kwa Suzie machepele ndiyo atakufa kabisa
Aaah! Suzie huwa noma sana. Anagawa hata kwenye magari .Kuna sehemu anafeli maana akiporwa anachanganyikiwa hapa kwa suzie itabidi ale dona na samaki mbichi na anywe sana mo energy maana suzie kila wakati anawaza kusokotana
Wote Madish yamecheza hao.Hahaha sidhani sana unaweza kukuta Suzie ni mzungumzaji tu ila hana mambo mengi kuna watu wako hivyo
kumbe unamfahamu vyema Casto Pombe kali zinampoteza sana atakuja kuzima mazimaCasto mzee wa kuporwa mademu, kisha anakunywa pombe Kali mpka anazima wiki nzima. Hapo kwa Suzie machepele ndiyo atakufa kabisa
Hahaha huwa lipo hili jukwaa mkuu na hao watu wapo huku kwetu wasalimie huko siasaniGood thing ni kuwa simjui casto, simjui suzie, nimepotea jukwaa nilikuwa nakwenda kupumzika jukwaa la siasa nikajikuta nipo uku automatic. God forbid