Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume "patriarchy"

Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume "patriarchy"

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.

Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.

1000021174.jpg
 
Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.

Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.

View attachment 3211395
Patriarchal - sio mfumo dume Ila ni ile hali mwanaume anakuwa decision maker mfanya maamuzi.



Ukileta maswala ya gender balance utazalisha jamii ya watu wajinga na wapiga majungu .


Wao wakomae na UWT , BAWACHA n.k

Unafikiri ni mwanamke gani angeweza kumuondoa Mbowe hapo Chadema?


Mnadai kitu ambacho hata mkipewa hamuwezi kukifanyia Kazi
 
CHADEMA SIO CHAMA CHA KISHENZI SHENZI TU KWAMBA KIMCHAGUE KIONGOZI SABABU TU YA JINSIA YAKE ALAFU KICHWAN HEWA, UJASIRI HAMNA, MAONO SIFURI.

HIZO NI TABIA ZA HAO WENGINE.
Sielewi kwann baadhi ya wanawake wana feel entitled , wanahisi sababu ya jinsia yao wana haki na nafasi fulani. Na si sababu ya uwezo

Watu design hii akipewa nafasi watavuruga nchi nzima , au mifumo ya chama
 
Kwenye siasa hakuna kitu kinaitwa uwezo 100% kuna public appeal...

Kama hizlcho kitu kikipigiwa chapuo vizur kinakuondolea credibility.

Nafasi za kugombea hapo ni chache tu, nyingine zote ni za kuteua...

Kwanini wanawake hawajaonekana?

Mabadliko ni pamoja na hiyo element..

Wakati mnafurahia ushindi kaz haziwasubiri
 
Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.

Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.

View attachment 3211395
Mbona wamarekani hamjawasema na ndo mnao tuambia tuwaige Kila siku,wao wanemkataa mwanamke mara 2 ,mke wa Clinton na juz Kamara
 
Huyu Catherene Ruge kati wa wanawake wenye nguvu na ushawishi CHADEMA, alikuwemo ktk 10....

Shida yake ni kushindwa kutumia akili ktk kufanya maamuzi badala yake yeye na wenzake kina Wenje, Boni Yai, yule mwenyekiti mpya wa BAWACHA, Yericko Nyerere, Ntobi nk wakakubali kulipwa mapesa ya rushwa yaliyobeba laana ya damu za watanzania wana CHADEMA waliouwawa na Abdul na mama yake Bi Samia Suluhu Hassan...

Hawa kina Catherine wakauza utu na heshima yao huko. Laiti wangekuwa wavumilivu, wakaitetea na kusimama upande wa HAKI bila shaka, kwa uadilifu wao huo hizi nafasi zingekuwa zao tu bila shaka...

Lakini walichagua uchafu, rushwa na ufisadi. Ni nani huyo atawatetea na kuwapa heshima? Wameuza heshima na utu wao. Ni sharti walipie gharama ya matendo yao...
 
Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.

Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.

View attachment 3211395
Tumemisi vibe yake hapa Kipong. Mwambie aje Arusha tunywe yaga master mbili tatu. Shenzi yake🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom