Patriarchal - sio mfumo dume Ila ni ile hali mwanaume anakuwa decision maker mfanya maamuzi.Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.
Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.
View attachment 3211395
Sielewi kwann baadhi ya wanawake wana feel entitled , wanahisi sababu ya jinsia yao wana haki na nafasi fulani. Na si sababu ya uwezoCHADEMA SIO CHAMA CHA KISHENZI SHENZI TU KWAMBA KIMCHAGUE KIONGOZI SABABU TU YA JINSIA YAKE ALAFU KICHWAN HEWA, UJASIRI HAMNA, MAONO SIFURI.
HIZO NI TABIA ZA HAO WENGINE.
Tuma salama Kwa watu sita mkuu sina mbavu Mimi ila ujumbe umefika umenyooka Kama rulaCHADEMA SIO CHAMA CHA KISHENZI SHENZI TU KWAMBA KIMCHAGUE KIONGOZI SABABU TU YA JINSIA YAKE ALAFU KICHWAN HEWA, UJASIRI HAMNA, MAONO SIFURI.
HIZO NI TABIA ZA HAO WENGINE.
Mbona wamarekani hamjawasema na ndo mnao tuambia tuwaige Kila siku,wao wanemkataa mwanamke mara 2 ,mke wa Clinton na juz KamaraCatherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.
Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.
View attachment 3211395
Tumemisi vibe yake hapa Kipong. Mwambie aje Arusha tunywe yaga master mbili tatu. Shenzi yake🤣🤣🤣Catherine Ruge ameuita mfumo mpya wa uongozi wa CHADEMA kuwa ni mfumo dume baada ya picha iliyoonyesha wanaume tu wakiwa wamesimama kwenye jukwaa kuu katika mkutano uliomalizika jana Mlimani city. Picha hiyo iliwekwa na Janeth Rithe ambaye ni mwenyekiti wa ngome ya wanawake wa chama cha ACT Wazalendo ambapo Catherine alisema huo ni mfumo dume.
Kauli hiyo imepokelewa vibaya na wananchi mbali mbali waliomkumbusha kuwa yeye aliwaongoza BAWACHA kwenda kumchukulia fomu ya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe baadala ya kuhakikisha kuna mwanamke kutoka BAWACHA anayeweza kugombea nafasi hiyo ya juu.
View attachment 3211395
atajua mwenyeweMkuu ulichoelezea ndio mfumo dume, Catherine ana hasira zake baada ya uchaguzi imebidi azihamishie kwenye agenda nyingine
Kubeba mimba na kunyonyeshaKwani wanawake mnaweza nini? Hebu eleza chochote mnachokiweza hapa duniani! Ndiyo sema...
Mmejazana maofisini ni majungu tupu!