Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huoni dalili? Mbowe kapigika halafu unasema lissu hawezi kushinda?Lisu hawezi kushinda uchaguzi utakujasema humu
Atamfanyaje?Catherine Ruge ni team Lissu.
Lissu hatamuacha.
Hatomfata Lissu?Catherine tutamuhitaji Kamati Kuu. Pia ni Mbunge mtarajiwa.
Alimkacha Lissu mbona RugeCatherine Ruge ni team Lissu.
Lissu hatamuacha.
Mwenyekiti ajaye ni Mbowe anajulikana kwa misimamo yake;huruma zake na ustahimilivu wake hawezi kumwacha Ruge...Catherine Ruge alijitahidi na ana msimamo.
..Mwenyekiti ajaye asimuache akapotea kisiasa.
Jumla TAL 63 na FAM 36.💪🏿💥👌🏿Catherine Ruge ambaye alikuwa anawania ukatibu mkuu wa BAWACHA Taifa amepigwa chini na Pamela Maassay. Ruge alikuwa anamuunga mkono Mwamba.
Uchaguzi umekamilika kwa nafasi zote za BAWACHA ambapo
Team TALL Wajumbe 17
Team FAM wajumbe 16
Jumla 33
Huku Bavicha Team FAM Ikiibuka hohe hahe kwa kuambulia wajumbe wawili tu kati ya 33
Mpaka sasa joto la uchaguzi limepanda kuliko kawaida na msishangae mkamuona Mwamba ndani ya UHURU FM akiomba kura. Amepanga kusafiri mwendo wa ngiri kwenda kwenye vyombo vya habari kuomba kura baada ya kubaini hali ni tofauti kabisa.
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100 Aambapo:
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla TAL 63 na FAM 36.
Hii sijaelewaJumla TAL 63 na FAM 36.💪🏿💥👌🏿
Nyie pigeni hesabu zenu za Kalkuleta kama Yanga ila mkiingia graundi mtalia kama Yanga! Ahahahahaha!!!Catherine Ruge ambaye alikuwa anawania ukatibu mkuu wa BAWACHA Taifa amepigwa chini na Pamela Maassay. Ruge alikuwa anamuunga mkono Mwamba.
Uchaguzi umekamilika kwa nafasi zote za BAWACHA ambapo
Team TALL Wajumbe 17
Team FAM wajumbe 16
Jumla 33
Huku Bavicha Team FAM Ikiibuka hohe hahe kwa kuambulia wajumbe wawili tu kati ya 33
Mpaka sasa joto la uchaguzi limepanda kuliko kawaida na msishangae mkamuona Mwamba ndani ya UHURU FM akiomba kura. Amepanga kusafiri mwendo wa ngiri kwenda kwenye vyombo vya habari kuomba kura baada ya kubaini hali ni tofauti kabisa.
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100 Aambapo:
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla TAL 63 na FAM 36.
Kwakuwa ndio nyumbani kwaoCOVID 19 wanajiunga CCM Leo 😂🌹
Wajumbe wanaomuunga Lissu mkono dhidi ya MwanbaHii sijaelewa
FAM 75% to 81% TAL 20% to 30% tunza hii massage utakuja kunishukuru.Jumla TAL 63 na FAM 36.💪🏿💥👌🏿
Mnakuwa mnawajuaje?Wajumbe wanaomuunga Lissu mkono dhidi ya Mwanba
Suprise ni Bozi Boziana.😂 Ndio Makala anasema atatangaza suprise.
Subiri tu usikie wanalalamika Mbowe ameiba kura.Mnakuwa mnawajuaje?