Pre GE2025 Catherine Ruge: Mwanamke anaweza kushinda kura za maoni, lakini anaambiwa ampishe mwanamume ili yeye apewe viti maalumu

Pre GE2025 Catherine Ruge: Mwanamke anaweza kushinda kura za maoni, lakini anaambiwa ampishe mwanamume ili yeye apewe viti maalumu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Katibu Mkuu wa zamani wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Catherine Ruge amesema vyama vya siasa ni nyenzo muhimu ya kuhakikisha wanawake wanajengewa uwezo wa kuwania majimbo, lakini bado haviamini kama kundi hilo linaweza kusimama.

Ruge aliyewahi kuwa mgombea ubunge wa Serengeti, mkoani Mara, mwaka 2020 amesema mwanamke anaweza kushinda katika kura za maoni, lakini anaambiwa ampishe mwanamume ili yeye apewe viti maalumu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


“Hii maana yake nini, hakuna utashi wa kisiasa, siyo tu kwenye vyama vingine hata kwenye chama changu. Muda mwingine hakuna utashi wa kisiasa wa kweli wa kuwasaidia wanawake.
 
“Hii maana yake nini, hakuna utashi wa kisiasa, siyo tu kwenye vyama vingine hata kwenye chama changu. Muda mwingine hakuna utashi wa kisiasa wa kweli wa kuwasaidia wanawake.
I think ni balancing Tu ya mchezo ili tushinde kotekote.....
 
Katibu Mkuu wa zamani wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Catherine Ruge amesema vyama vya siasa ni nyenzo muhimu ya kuhakikisha wanawake wanajengewa uwezo wa kuwania majimbo, lakini bado haviamini kama kundi hilo linaweza kusimama.

Ruge aliyewahi kuwa mgombea ubunge wa Serengeti, mkoani Mara, mwaka 2020 amesema mwanamke anaweza kushinda katika kura za maoni, lakini anaambiwa ampishe mwanamume ili yeye apewe viti maalumu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


“Hii maana yake nini, hakuna utashi wa kisiasa, siyo tu kwenye vyama vingine hata kwenye chama changu. Muda mwingine hakuna utashi wa kisiasa wa kweli wa kuwasaidia wanawake.
Ana point. Kama yule dada aliyempisha Mrema. Kwa kweli hakutendewa haki.

Amandla...
 
Hilo team ilee haiwez kuelezwa ikaelewa...

Siasa za harakati ngumu sana.. zina hisia kuliko uhalisia..

Poleni CDM.. mambo kangaja, huenda yakaja
 
Huyu Mama ni mwamba na msomi. Tunatarajia atachukua fomu kwa ajili ya Ubunge na apambanena wanaume toka Vyama vingine.
 
Back
Top Bottom