hivi hawa waha wote wenye tabia ya kuiponda chuo fulani kwa madai mbalimbali huwa wanakuwa na any fact?hawajasoma hicho chuo,si wadau TCU,si wataalam wa kuchanganua units za chuo yeyote,sasa wanakashifu vyeti vya vyuo vingine kwa mantiki ipi?utakuta wanaiponda chuo ambacho kilikuwepo kabla ya yeye kuzaliwa na kimetoa wataalamu wengi kiasi hata baadhi ya malecturer wake wamehitimu hicho chuo,sasa unapoiponda maana yake hata na we degree yako ina walakini,sidhani na wala siamoni serikali haifanyi kazi yake kwa kiasi hicho,tuacheni ushambenga