Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi CBE nacho ni chuo katika vyuo. Mabishoo wote wanaofeli o-level na A-level ndo kimbilio lao pale, sasa unategemea nini? Watu wengi pale wamefoji vyeti tu. Kuna mtoto wa uncle yangu alipata Div 0 form 4. Nikashangaa yuko CBE anafanya Diploma, hapo ndo nikakoma mwenyewe. Kumuuliza imekuwaje akaniambia mbona tuko wengi tuu..nikaachwa mdomo wazi. Hivyo kufeli CBE si kitu cha ajabu pale hakuna elimu ni ubraza men tu na usista du.
Nashauri vyetu vyao vihakikiwe na Necta kabla ya kuruhusiwa kuingia madarani.
Mnyama hapo unaongea kwani mara zote nifikapo pale watu wanafanya mambo yao tu na hakuna sign yeyote ya seriousness kwenye masoma.
hao walimu nawapongeza kwa kuwakamata tena, na huu ujinga wakila ukamatwapo umeonewa umeanza lini ? na kwa nini uonewe wewe tu na si wengine? tusichanganye biashara na elimu ¨ EDUCATION IS NOT A BUSINESS¨ tunakoelekea tanzania/vyuo naona vinageuza elimu kuwa biashara.
mimi ni lecturer na naona seriousness ya wanafunzi wa sasa. ni tofauti kabisaaa na tulivyokuwa sisi six/seven years back at UD.
nawakilisha
Hivi Mitihani walifanyia Sanaa Pub ama maana nakuwa kama sielewi elewi... Wamefeli kwa kugoma ama wamegoma baada ya kufeli...
Wachukue mfano wa FOE [CoET] pale UDSM, wenzao masomo yakiwa yamebana wanaanzisha Kunji tu ili mitihani isifanyike kwa wakati uliopangwa...