CBG-anaweza soma MD?

CBG-anaweza soma MD?

luofe

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2011
Posts
330
Reaction score
143
kunatetesi kwamba kunawatu wamesoma CBG na wanasoma Md ,st fransic na CUHAS! inawezekana na anayejua anijuze!!
 
MD ni kwa waliosoma pcb tu kama ulikimbia physics form two sidhani kama utaweza soma MD labda BVM pale sua
 
Wanasoma. Unapaswa kuwa na credit 2 kati ya hizo za physics, biology,chemistry na walau basic maths. Kama umefaulu chemistry na bios unapeta tu. Issue inabakia cutting points.
Ila angalia websie ya chuo uone vigezo. Google jamani mbona kila info unapata tu.
 
kunatetesi kwamba kunawatu wamesoma CBG na wanasoma Md ,st fransic na CUHAS! inawezekana na anayejua anijuze!!

kuanzia mwaka jana haiwezekani!wamefuta hiyo na wapo serious kweli!waliodahiliwa bila physics walirudi home bila huruma
 
[h=1]UDOM ENTRY QUALIFICATIONS:

Entry requirements
[/h][h=2]7.1 Directentrants[/h] 7.1.1 Principal passes at C grade or higher in Chemistryor Biology/Zoology or Physics/Mathematics provided the other two subjects arenot below D at A level. Preference will be given to applicants with creditpasses (C or above) in Chemistry or Biology in that order. 7.1.2 Candidates with E in Physics/Mathematics at“A” level provided they have C or higher in Chemistry and/or Biology. 7.1.3 Candidates with D in Physics/Mathematics,Chemistry and Biology at A-level provided they have at least a credit pass in Chemistryand or Biology at “O” level. [h=2]7.2 Equivalent qualifications[/h]7.2.1 Appropriate Diploma/Certificate/degree withprincipal passes at any grade in Physics, Chemistry and Biology at “A” level ofeducation. 7.2.2 Holders of any appropriate Diploma/Certificate/DegreeMust have passed with an average of B+ or above. 7.2.3 Holders of Advanced Diploma in ClinicalMedicine with an average of B+, with credit (C and above) pass at “O” level inPhysics, Biology and Chemistry.
7.2.4 Holders of Bachelor Science degree majoringin Physics, Chemistry and Biology/Zoology.

MUHAS ENTRY QUALIFICATIONS

AdmissionRequirements(A) Eligibility of admission into theDoctor of medicine (MD) degree [h=2](a) DirectEntrants[/h](i) Principal pass at Cgrade or higher in Chemistry or Biology/Zoology or Physics/Mathematics providedthe other two subjects are not below D at “A” level. Preference will be givento applicants with credit passes (“C” or above) in Chemistry or Biology in thatorder. (ii) Candidates with E inPhysics/Mathematics at “A” level provided they have “C” or higher in Chemistryand/or Biology.(iii) Candidates with D inPhysics/Mathematics, Chemistry and Biology at “A” level provided they have atleast a credit pass in Chemistry and/or Biology at “O” level.(b) Equivalent Qualifications(i) Appropriatediploma/certificate/degree with principal passes at any grade in Physics,Chemistry and Biology at “A” level of education(ii) Holders of BSc degreemajoring in Physics, Chemistry and Biology/Zoology or Chemistry andBiology/Zoology.
 
pale cuhas wameka a or b kwenye hiyo b wameonyesha unatakiwa kuwa na atleast 5 point kwenye chem na bios! hiyo imekaaje na o level nilikuwa na B ya phy na C ya math!
 
Kwani advance una matokeo yapi kwenye hiyo comb yako ya cbg
 
Una matokeo yapi kwenye hiyo comb yako ya cbg
 
matokeo bado hayajatoka lakini ikitokea nna CC kwa chem na bios itakuwaje!
 
Dogo subiri matokeo yaje ndo urudi hapa tukushauri vizuri!
 
Back
Top Bottom