sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Nimefurahi uchaguzi unaendelea ndani ya CCM ni hatari tupu, wale matajiri waliowekwa kando na Mh Mwendazake, sasa wanarudi Kwa kasi kasi ya 4G.
Ninaikumbuka sana CCM ya kabla ya Magufuli, ilivyokuwa tulip kuwa na macho tunakumbuka wenyeviti wa CCM mikoani walikuwa wafanyabiashara wakubwa sana ambao utajiri wao ulikuwa na shaka kubwa, wapo waliokuwa wauza madawa ya kulevya, wapo waliofanya biashara ila hawakulipa Kodi kabisa, nawakumbuka wengi hakika wale ambao tulikuwa tukifatilia habari za siasa tuliona kilichoendelea nchini Tanzania.
Fagio la chuma lilipitishwa na Mh Rais Magufuli Kwa kweli lilikuwa fagio hasa, Leo hii fedha zinaanza kununua madaraka tena. Je, nchi na CCM mnajitafakari?
Enyi nyinyi wenye kadi za CCM na hamna maisha jitafakarini wapi mnaenda?
Majizi yaliyofurushwa yanarudi Kwa kasi.
Ninaikumbuka sana CCM ya kabla ya Magufuli, ilivyokuwa tulip kuwa na macho tunakumbuka wenyeviti wa CCM mikoani walikuwa wafanyabiashara wakubwa sana ambao utajiri wao ulikuwa na shaka kubwa, wapo waliokuwa wauza madawa ya kulevya, wapo waliofanya biashara ila hawakulipa Kodi kabisa, nawakumbuka wengi hakika wale ambao tulikuwa tukifatilia habari za siasa tuliona kilichoendelea nchini Tanzania.
Fagio la chuma lilipitishwa na Mh Rais Magufuli Kwa kweli lilikuwa fagio hasa, Leo hii fedha zinaanza kununua madaraka tena. Je, nchi na CCM mnajitafakari?
Enyi nyinyi wenye kadi za CCM na hamna maisha jitafakarini wapi mnaenda?
Majizi yaliyofurushwa yanarudi Kwa kasi.