Uchaguzi 2020 CCM acheni kutisha wamiliki wa shule/vyuo binafsi. Eti taasisi zao zitafuatiliwa Lissu akipata kura nyingi

Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.

Safari hii upinzani wana kelele wakisaidiwa na waliowatuma lakini hawana kura hata 20%
 
MTAMBO WA UCHOCHEZI
 
Kuna watu wameshashindwa wanachofanya ni kuandaa vidumu vya petrol, visu na mawe

Waambie vijana wako wakapige kura warudi nyumbani kufuatilia matokeo ili hao waliojiandaa wabaki wenyewe huko mabarabarani
Mama D una ushahidi na hili?
Kwanini serikali inadeploy wanajeshi sehemu mbalimbali nchini tena mitaani kama kule visiwani Z'bara na Kigoma waziwazi?
Kwa haya yote yanayoendelea hata wewe akili yako yakutuna kuwa wananchi ndio wasumbufu? Hivi uchaguzi ukiwa wa haki bila mawakala kusumbuliwa, wananchi wakaachwa wasubirie matokeo katika vituo vyao tatizo ni nini? Mbona chaguzi zilizopita hakukuwa na hizi figisu figisu?
Yoye ya nini hayo kama wanaccm mnajiaminisha mgombea wenu atapata ushindi kwa kishindo?
 

Hawajakutag huku wanaoandaa vidumu vya petrol?
Kazi ya jeshi ni kulinda wananchi haswa pale wanapoona kuna hatari ya kupoteza amani, hutaki kuwaona?

Tukapige kura kwa amani tuache kujitisha na kutishiana
 
Kuna baadhi ya viongozi wa CCM wanaenda kwa wamiliki wa shule/ vyuo binafsi kuwatisha.

Raha ya ushindi ushinde kihalali. Kwa udhalimu huu bado kuna mijitu itajitoa ufahamu kushangilia wakishinda. Pathetic!!
 
Awaogope nani hawa videlaa, kwani hii nchi ni Yao??Hii nchi ni Yao? Baada ya Uchaguzi watakuwa wazururaji tu, hizo shule watazifutiaje usajiri?
 
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…